Baada ya Tanzania kumpata spika mwanamke wa kwanza na kuandika historia mpya ya bunge la nchi hii unaweza kusema nini juu ya utendaji wake so far. Kuna matumaini yeyote ya kupata ufanisi wabunge letu kwa kuzingatia jinsi anavyo liendesha bunge mpaka sasa na uwezo wake au matumaini ya ufanisi wa...
Kati ya mambo aliyoyaongelea ni kuhusu suala hili la kutoza kodi kwa kutumia mashine hizi. Alisema anawaomba wafanyabiashara watoe ushirikiano kwa kutumia mashine. Sasa ninajaribu kujiuliza ushiriano huu utawezekana vipi ikiwa hao TRA wenyewe tangu mwanzo hawajatoa ushirikiano kwa...
President Kikwete was absolutely seething when talked about CHADEMA in his end of month speech to the Nation yesterday. My advice to CDM leaders is this they must be prepared for the worst to come. He (Mr. President) will definitely going to do anything possible to try to stop CDM actions.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.