Bwana ehh paka wako kikaangoni, kesho walimu itakuwa zamu yao kutolewa vizazi kwa lazima, maana utafiti unaonesha walimu ndio wana uzazi sana baada ya mahausigeli
Hawa wazungu wamekuwa wakikamata paka mitaani na majumbani kisha kuwang'oa uzazi.
Baada ya miaka michache tu nchi ya Zanzibar itakuwa haina paka hata mmoja.
Paka wana faida nyingi sana kwa jamii na kimazingira pia.
Hizi kampeni zinazoendelea, serikali izitupie macho.
Wanyama wana haki ya...
Augustine Azuka 'Jay Jay' Okocha, Mchawi na Hizi yake kutoka Enugu
Usiku mmoja kule Kusini Mashariki mwa nchi ya Nigeria, Jimboni Enugu ile Agosti 14, 1973 alizaliwa Mchawi mmoja wa soka wakuitwa Augustine, ndio ni Augustine tu
Mitaa ya Enugu haikutaka kumwacha salama na jina lake la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.