Duh!..
Hizo propaganda za viwango vya rami.
Kulikuwa na tani 9,000 amejitokeza mnunuzi mmoja tu nae amenunua tani 200 tu, kwa Tsh. 3001 kwa kilo.
Sijui tunapotosha kwa kiasi hichi kwa faida ya nani?.
Mkuu hilo fao nasikia limefutwa sasa msihangaike mvumilie tu hadi mfikishe umri wa kustaafu 60.
[emoji443] Tumeipenda wenyewe, chaguo letu wenyewe.
Acha tuisome namba eeeeeeeeh..(tuisome namba )
......................... mbeleee kwa mbeleeee... [emoji445]
Mahakama kweli imetia fola, ushahidi wa kielekroniki una taratibu zake nyingi ambazo zinaufanya uweze kukubarika mahakamani. Kama umepokelewa kibolela kiasi hichi basi kazi bado ndefu sana.
Mkuu kero gani ameshughulikia?!.
Bei ya bidhaa iko juu wananchi hawana fedha, tangu aingie madarakani Watumishi hawajaongezwa mishahara achilia mbali kulipwa madai yao mbalimbali, ajira zenyewa ndy tulishasau tunasikia walimu wa sanaa wa sekondari wataajiliwa katika shule za msingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.