Kwa wale ambao tumewahi kuwa watumishi wa umma tunakubaliana kuwa wapo Watanzania wengi tu wenye uwezo mkubwa kiakili.
Tatizo moja la nchi hii, watu hupandishwa na kupewa nafasi kubwa kwa kigezo cha nidhamu na utii kwa wakubwa. Yaani wale watumishi wasiohoji chochote,
wazee wa ndiyo ndio...
Nimeona huo msururu wa hao waandamizi kutoka taasisi mbalimbali. Hao wote wanakula kodi zetu aloo.
Sasa nawaza wenzangu na mie ambao kati ya hao hamna hata ndugu mmoja hata wa mbalimbali mnajisikiaje eti.
Angalau sisi ambao wamo ndugu zetu tunajifariji kuwa angalau Kodi yetu inaliwa na wanetu...
Duniani kote hatua kubwa za kimaendeleo zinaathiriwa kwa kiasi kikubwa na viongozi wa kisiasa. Hawa ndio hutoa maamuzi ya mwisho kuhusu mstakabali wa Taifa. Hivyo tutake tustake lazima viongozi wetu wakuu wa kisiasa wawe akili kubwa, na wawe weledi.
Anzia Marekani, njoo Uingereza, pita hapo...
Umeshirikiana na kiongozi wa CCM mnamnyanyasa huyo Mama. Tena mtumishi wa Serikali kisa Tsh. 15000/= za ulinzi shirikishi. Yaani kweli kila mwezi mtu alipe Tsh.15,000/= tena kwa Walinzi ambao hata hajui Kama wanalinda.
Najua mnataka kugeuza kesi. Lakini ipo siku utalipa nakuapia.
UPDATE:
Mama...
Hili ni somo ambalo Urusi wamelitumia na likawapa mafanikio makubwa sana hasa ndani ya hii miongo miwili ya Rais Putin.
Ni somo ambalo China sasa wamelichukua na naona linaendelea kuwalipa. Hata jirani zetu Rwanda linawalipa.
Ni somo la kuwapa viongozi Nguli na waandamizi muda wa kutosha...
Gari ni Yutong nzuri, gari inasimama kila kituo, inachukua hadi abiria wa buku 2. Wanaenda wanavyotaka, wanaweza wakasimama tu bila sababu ya msingi. Kahama tumetoka saa 12 ndo tunaingia Dodoma hapa.
Hakuna abiria ametoka Kahama na hii gari anaweza kuipanda tena hata kwa bure.
Tanzania ni moja ya Nchi ambayo baada tu ya Uhuru ilifanikiwa kujenga msingi Imara wa kiutawala kupitia TANU na baadae CCM. Msingi ambao unaifanya Tanzania kuwa moja ya Nchi chache Barani Afrika zenye uimara wa hali ya juu kiutawala.
Sasa ni miaka 20 tangu mfumo wa vyama vingi uanze, na hakuna...
Zipo taarifa ambazo wewe mwenyewe umezithibitisha kuwa mara baada ya Uchaguzi utarudi Ubelgiji, huko ulipokuwa kwa takribani miaka mitatu na kurudi siku chache kabla ya zoezi la Uchaguzi mkuu kuanza. Ni jambo jema kuwa ulijua huwezi kutoboa na ukafanya maandalizi hayo mapema.
Sasa sisi...
Kuna watu humu wanajipa moyo eti CHADEMA hii ya Lissu, Mbowe, Mnyika, Heche, Halima, Bulaya Matiko na Wenzake wanaweza kuishinda CCM ya Magufuli, Bashiru Ali, Mangula, na mfumo mzima wa Chama Cha Mapinduzi.
Kama Kuna mtu anawaza hivo na anamanisha na ana amini Mawazo yake hayo yanaweza kuwa...
Huyu Mwamba, Benard Camilius Membe, huyu jamaa akiwa foreign Minister, kijana aliyekulia ndani ya kitengo, akiwa na mabilioni ya Gaddafi na maconnection kibao ndani hadi kwa Mabeberu, alitumia almost miaka mitano ya mwisho ya utawala wa J.K kujiandaa kuukwa Urais wa Jamhuri lakini hata kwenye...
"The world is very sick" ni moja ya sentence katika series ya the Last ship, Series ambayo wakati naanza kuiangalia mwaka 2015 niliiona kama ya kufikirika mno kupita maelezo. Miaka mitano mbele kile walichokiigiza, Sasa siyo maagizo tena ni uhalisia kwa asilimia angalau 90%.
Ninachokumbuka mle...
Viongozi wakuu wa CHADEMA, Jana walikutana na Nyundo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, pale walipopatikana na hatia ya jumla ya makosa kumi na mbili (12)na kutakiwa kulipa faini ya jumla ya fedha kiasi Cha Tsh.350 milioni au kwenda jera miezi mitano (5) kwa kila mmoja.
Kama kawaida ya...
Jamani kama nilivyotanabaisha hapo juu, nimepata kabinti karembo kama wiki mbili zilizopita. Sasa nauliza kwa wakongwe, hivi mgegedo napata baada ya muda gani mabaharia!
Wakuu mimi nipo vijijini huku, mji mkubwa ambao nipo karibu nao ni Mwanza. Sasa nataka nijaribu bahati kwenye biashara ya kuku wa kienyeji, niwe nawaleta mwanza.
Tafadhali kama kuna anayeweza kunijuza masoka hapo na bei zipoje.
Wadau Kama kichwa cha thread kinavyoeleza nipo mikoa ya pembeni kanda ya ziwa natafuta chimbo ninapoweza kuwa nanunua dawa tajwa kwa bei nafuu. Asanteni!
Kwa sasa katika Jamhuri yetu tukufu habari inayotamba ni CAG Prof Assad, Bunge( Ndugai) na Serikali( Magufuli).Kiufupi tayari kuna Mgogoro wa Kikatiba ambao kiukweli unahitaji akili kubwa kuukwepa hasa kwa upande wa Rasi Magufuli.
Juzi aliibuka Mbunge wa Kibamba Mh.Mnyika na kumsihi Rais...
Tangu Maalim Seif Hamad atangaze kujiunga na ACT wazalendo nimeona watu wengi hasa upande wa upinzani wakijipa moyo kuwa Ni moja ya mikakati Bora ya kuikabiri CCM mwaka 2020. Lakini ukiangalia kwa jicho pana ni wazi hatua hiyo inaleta madhara makubwa kwa CHADEMA kuliko Chama chochote Cha siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.