Pole sana. Ushauri wangu ni kuwa, soko la ajira pia linabadilika siku hizi, vigezo vya elimu tu havimfanyi mtu kupata kazi. Kuna vitu kama uwezo binafsi kujua vitu, ubunifu binafsi, na mambo mengine mengi.
Hivi vigezo vingine tofauti na elimu ukivitumia hata wewe mwenyewe unaweza kutumia...
Inatokea sana hili hasahasa ukiwa unapelekwa zaidi na 'emotion' na wakati mwingine unaweza kuingia kwenye maisha ya kuja kuteseka kwenye ndoa baadae. Usidharau unachoshauriwa na watu, changanya na mawazo yako binafsi fanya maamuzi mazuri kwa ajili ya maisha yako ya baadae na familia yako.
We are marketing company experienced and a leading provider of web-related solutions to market businesses. We have offices in both Lulea, Sweden and Arusha, Tanzania. If you are interested in growing to the next professional level, were interested in speaking with you.
As a member of the...
Father was a hardworking man who delivered bread as a living to support his wife and three children. He spent all his evenings after work attending classes, hoping to improve himself so that he could one day find a better paying job. Except for Sundays, Father hardly ate a meal together with...
It is very true Mkuu, and I agree with you but I wanted in sense of generalizing the places. Najua kuna sehemu cheap hapo hapo dani ya hiyo sehemu expensive na inategemeana na jinsi unavyoishi ila weka kwa ujumla
I know that, so many factors has to be considered to know which place is the most expensive in Tanzania. Mostly we use factors in the major components of cost of living including: goods & services, groceries, health care, housing, transportation, utilities etc. From all these things, which...
The causes of anger are complex and to mention a few in brief are;
1. Parental Example [Parents have influence on personality development throughout childhood & adolescence.]
2. Cramped Cities [ As more and more people squeeze into crowded cities, the levels of anger and frustrations are...
Ndugu yangu pole. Kinachokuangamiza ni mawazo yako tu ndugu, kwanza ujifunze kuona umuhimu wako na value yako, maneno kama naangamia, maisha magumu inatosha kuona ila nikushauri wewe ni bora zaidi ndugu, kazi utapata, pia anagalia mazingira yako, utajiajirije, sio lazima kuajiriwa...
Ahsante sana Kang, maelezo mazuri sana, bado sijafanya maamuzi, sasahivi nafanya shooping tu na kujua information na gharama. Nashukuru sana, ubarikiwe!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.