Huku mkoani Mara kuna mashirika zaidi ya 50 yanayopambana na ukatili wa kijinsia hasa kwa wanawake na watoto.
Wameanzisha vilabu mashuleni ili kuwaelemisha juu ya ukatili wa kijinsia msingi na sekondari. Ukatili wa kijinsia ni pamoja na ukeketaji kwa watoto wa kike
Cha ajabu Disemba hii...
Wadau tupo giza totoro kwa mwezi na siku kadhaa kisa transformer imeharibika,na TANESCO wanadai kuwa mpaka walete transformer nyingine
Hivi inachukua muda gani TANESCO kuleta transformer nyingine?
Kuna mtindo wa kuwapa majina watoto kwa kuanza na herufi zinazofanana ,je huu mtindo una faida au hasara au uzungu?
Unakuta mzazi anawaita majina mtoto wa kwanza hadi wa mwisho herufi inayoanza ni D,au E au B
Hasara ni kwamba majina hayazingatii chimbuko lake wala utamaduni wa jamii yake...
Kuna kiongozi anahimiza somo la historia ya Tanzania liandikwe na kufundishwa kuanzia awali hadi chuo kikuu.
Historia ni somo linalohusu matukio yaliyopita ,yaliyopo ili kujenga yajayo na kumwezesha binadamu apambane na mazingira nk NB yakiwemo magonjwa ya mlipuko.
Yaani unakusanya matukio...
Sasa na nyie Redio free Afrika mnakera sana,kuna maana gani kujiunga na Redio za kimataifa na huku mnawakatia matangazo yao hasa wakifika kuripoti kuhusu hali ya corona Tanzania.
Leo RFA wamekata matangazo ya sauti ya Amerika walipoanza kuripoti kuhusu corona Tanzania, je na nyie vyombo vya...
Mama mzazi wa Mkuu wa wilaya Jerry Muro amefariki dunia ,mama Ankunda Muro amefariki usiku wa kuamkia leo 24.1.2021 katika hospitali ya Taifa Muhimbili
Poleni mkuu Jerry Muro kwa msiba mzito
Mwishoni mwa mwaka 2019 nilikuwa kwenye mahusiano hot ya kimapenzi yenye ndoto za kuja kuishi pamoja na huyu mwanadada
Mimi nikiwa mwajiriwa wa serikali yeye akiwa kwenye taasisi za ukopeshaji ,baadae akahamishwa na taasisi yake kwenda mkoa jirani,hata hivyo mapenzi yetu yalikuwa ya moto...
Vyama 8 vimemtaka Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuomba msamaha kufuatia kauli aliyotoa hivi karibuni kuwa vyama vingine ni vyama bandia.
Vyama hivyo vimesema Mbowe amevidhalilisha na amevunja sheria na huku vyama hivi vimesajiliwa kama kilivyosajiliwa CHADEMA.
Wamekitaka CHADEMA wajitoe...
Ni kuchamba mwanzo mwisho, vitisho na kejeli kwa kampeni za CCM dhidi ya Maalimu Seif. Kuna mwanaCCM kapanda jukwaani kasema Maalim Seif sio Raia wa Zanzibar, kaeleza stori za Mohamed Shamte na kejeli juu.
Siasa za Zanzibar ni za kuchochea ubaguzi na fitina. IGP Sirro una kazi ngumu kwenye...
Acha ukwel ubaki ukweli ,sera ya Uhuru na maendeleleo ya watu inampaisha Tundu Lissu.
Ukata, mzunguko wa pesa,,biashara zimedorola, fremu zimefungwa, watu hawana akiba account zao zinasoma negative
Mijini na vijijini wanalia na ukata wa hela, hapa CCM hatapata kura kwa sababu hiyo
Unaambiwa...
Huu Uzi maalumu kwa ajili ya watumishi wa umma wenye salary slip na check no ambao kwa miaka 5 tumedhulumiwa haki yetu
Serikali ya ccm haina muda na watumishi, increments kwa watumishi zimetupiliwa mbali
Watumishi tumejikuta tunafanya kazi nyingi na ngumu kisa serikali haijiri,hili linawakumba...
Sijawahi kuona hali hii tangu nizaliwe
Ving'ora vya ambulance zimekuwa vingi sana,kila baada ya saa moja ambulance inapita hasa hasa inatokea vijijini
Na Kwa mujibu ya watu wanaoishi Tarime vijijini wanasema misiba imekuwa mingi kuliko kipindi chochote yaani vifo vya ghafla vimekuwa vingi sana...
Walahi kwa mpira huu,na kocha huyu bora tuendelee kucheza mchangani na ni bora tufungwe ili tusiende AFCON Cameroun maana huko tutakuwa daraja au timu ya kuchukulia pointi
Fikiria tupo kundi moja na Egypt,Ghana, Togo, Tanzania,hapa stars anapita wapi
Au Cameroun,Algeria,Burkinafaso,Tanzania...
Jamani ni miezi kadhaa imepita baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanamke mmoja ambaye tulifahamiana kupitia mitandao ya kijamii ambaye anakaa jijini Dar es salaam
Nilimpata mwanamke jijini Dar,kupitia mitandao ya kijamii na kujenga mahusiano,yaliyopelekea kufungasha safari kutoka mkoani...
Kitendo cha Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC), Dk. Athuman Kihamia kugoma kutaja gharama ambazo tume yake imekuwa ikizitumia kuendesha chaguzi za marudio ya ubunge na udiwani kimetibua nyongo za wafuatiliaji wa masuala ya siasa.
Wafuatiliaji hao wamemtaka Dk. Kihamia kutambua kuwa...
Tukio la dereva wa basi la daladala maarufu Hiace, Andrew Kiwia, limeibua maswali yasiyo na majibu hasa baada ya kauli ya kamanda wa polisi mkoani Kilimanjaro, Hamis Issah.
Wakati maswali hayo yakiibuka, mama mzazi wa marehemu, Haikamesia Kimambo, jana alisisitiza kuwa hawatachukua mwili huo...
Msaada aliye na utaalam wa ku-convert video kutoka mp4 kwenda mpeg4 naomba anisaidie nitumie app gani ambayo nitadownload kwenye sim
Au nisaidie app ya kudownload video kutoka YouTube moja kwa moja yenye format ya mpeg4
Aliye na ujuzi tusaidiane
Mwanamitindo Hamisa Mobetto ameamua kuweka wazi mwanaume ambaye anataka kuishi naye kwa sasa, ambapo amedai kuwa anataka mwanaume wa kizungu ambaye alishawahi kuachika na mwenye watoto.
Akizungumzia vigezo vya mwanaume anayemtaka, Hamisa amesema kuwa kwa sasa hapendi kuolewa na vijana na...
Walimu waliopoteza maisha katika ajali ya MV Nyerere
1,Badebi m.Masunga-s/m Mabule Ukerewe
2,Augustine Malindi-s/m Bukungu Ukerewe
3,Albert Mongela-s/m Amani Ilimela
4,Ligwa Lubinza-s/m Nyang'ombe Ukerewe
NB,eitha Albert na Ligwa ni Mme na mke wameacha mtoto mchanga
Poleni Walimu Tanzania...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mwanafunzi wa Kidato cha Nne katika Shule ya Sekondari Isengo, Ines Mtundu (19) kwa kosa la kumtupa chooni mtoto mchanga.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 24 Septemba 2018 na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, SACP Ulrich Matei, inaeleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.