Haya ndio maisha,binafsi mimi mwenyewe nivigumu sana mpaka sasa kuita "mama",hua nashangaa watu wanaosema mama ndio mungu wa dunia, kwangu mimi naona mama nibinadamu wa kawaida kama binadamu wengine ,haifai kumtukuza kanakwamba bila yeye wewe si kitu,yeye sio anaupendo kwako kuliko baba,wote...
Wadau wenzangu usiku wajana nusu nikimbie hotel .kisa chenyewe kilianza hivi,baada ya siku nyingi kukaa baharini
jana meli yetu ikafanikiwa kutia nanga kwenye bandari ya Dar,kama kawaida mimi na wenzangu tuliamua kwenda
kupata raha Q-bar maana siku nyingi zilipita bila kukamua,ilikua mida ya...
aisee kijana unahatari kweli,angalia madhara yapo.moja ya madhara ni kuhama
kwa nyege kutoka mbele kwenda nyuma,ikitokea hivyo utaanza kuhitaji kugongwa.
Sir, the situation is like this: I am using a USB to serial converter to be connected to Radio Base Station of GSM using a software called OMT after configuring the COM port on the software
and click on connect I get this message (Overlapped I/O is in progress) I am using a lap top HP EliteBook...
Habari zenu wana IT,kwanza naomba niwaeleze tatizo lililo nipata,mwanzo computer yangu ilikua ipo kwenye DOMAIN nikaibadilisha kwenda kwenye usergroup iliniweze kushea baadhi ya vitu na computer nyingine za jamaa.Baada tu ya kubadilisha tu kutoka domain kwenda usergroup matatizo yafuatayo...
fungua website Vodacom Tanzania - Homepage nenda kwenye menu product and service nenda cheka internet alafu angalia
upande wa kushoto wa page kwenye headingi vodacom cheka internet,chini yake kuna sub menu nyingi wewe chagua hile ACTIVATE YOUR DEVICE.Nazani hapo utapata kila kitu.
Mbona inazingua kwenye kujisajili,mfano unapo weka namba ya siri ya ATM alafu inakwambia weka namba yako mpya ya siri,alafu hakikisha namba yako ya siri .mwisho unapata ujumbe (umekosea Namba ya siri ATM au namba ya kadi ya ATM).Ninavyo fahamu mimi namba ya kadi ya ATM ni namba yenye tarakimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.