Hiyo Mahakama imehamia IKULU.
Ripoti (status) hii hapa Link https://www.jamiiforums.com/threads/ikulu-washtakiwa-467-wa-uhujumu-uchumi-wapeleka-maombi-kwa-dpp-wakitaka-kukiri-makosa-yao-na-kurejesha-takribani-tsh-bilioni-107.1634036/
Link https://www.jamiiforums.com/threads/tundu-lissu-kuwa-makini-na-chadema.1604724/page-2#post-32108445
Link https://www.eatv.tv/news/current-affairs/tutanyolewa-bila-maji-tundu-lissu
Tumewapa nafasi waimba mapambio. Sisi huku kitaa tunakula bata wa uchumi unaokua kwa kasi ya asilimia 7.
Ninampango wa kuhamia karibu na hifadhi ya Chatuburugi.Ukuje kunitembelea.
"Bikila" Malia alikuja kubadilishana mawazo nami. Weye! Unataka mabikira? Jaza fomu ya order, unitumie au mpe mmoja ya "wasiojulikana" watanifikishia.
Tupo pamoja Bwana mla kima kugawana faida ya uchumi unaokua kwa asilimia 7.3
Hapa serikali imebuni chanzo kipya cha mapato. Askari wanaweza kukubambikizia mifuko ya plastiki ili iwe "fundisho" kwa wengine.
Ni vyema kulinda mazingira.
Duh. Anapiga vita uchumi? Hili unalosema linawezekana kwa sababu inasemwa uchumi umewekwa juani, unakauka na kusinyaa.
Wafanyakazi wa umma nao ni mafisadi au wapiga dili? Hata nyongeza halali, annual increment, nayo haiwezekani kulipwa?
Kwa uendeshaji huu wa vita ya uchumi lazima uchumi ukue...
Rais bora au Bora rais?
Ubora wake umekaribia ubora wa Maduro?
Mwalimu Nyerere ametuma salamu za pasaka na kutahadharisha juu ya ujio wa sembe ya njano kwa hisani ya watu wa Marekani.
Link https://www.jamiiforums.com/threads/mbunge-wa-ccm-akiri-ubaguzi-wa-kikaburu-ndani-ya-awamu-hii-usipokuwa-ccm-huna-haki-kama-raia-lazima-uwe-ccm.1572148/page-2#post-31079029
Kwetu mali zetu na hela zetu zipo salama kwa sababu tunae Rais mcha Mungu , mtenda haki na mpenda demokrasia.
Link https://www.jamiiforums.com/threads/ijumaa-kuu-rais-magufuli-ashiriki-misa-takatifu-st-peters-church-osterbay.1574739/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.