Ama kweli kuna watu wanaingia humu kupinga kila kitu. Kazi aliyoifanya Kanumba ni kubwa sana na atabaki kwenye kumbukumbu za walio wengi. R.I.P Kanumba.
Huyu Nape ni mnafikiki tu. Anajua kuropoka tu bila kujua hata anaongea nini. Kijana yeyote mwenye roho ya uanamapinduzi akishaingia ccm anakuwa km mbwa wa polisi. Tusitegemee Nape kuongea maneno yenye busara. Amekwisha huyo.
Mkuu, mie sishangai cheetah kumlea mtoto wa swala. Mwa 1992 kwenye mbuga ya Tsavo aligundulika simba jike aliyekuwa anamlea mtoto wa swala
baada ya mama yake kuliwa mara tu baada ya kuzaa. alikuwa anamnyonyesha, na wanyama wengine walipomkaribia alipambana nao. Haya ni maajabu ya Mungu!!!
Ama kweli jambo usilolijua ni kama ucku wa giza. Kwanza hii thread kaweka mwenyewe, pili hii ni mara ya pili kwani mara ya kwanza alipost wachangiajia wakaexpose uchafu wake mpaka akaifuta.any way kutokana na akili mbovu za rais wenu any thing can happen.yangu macho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.