Mkuu hilo linawezekana pia kuwa tatizo la hormone huwa inatokea ingawa sio mengi kwa kiasi unachosema cha kujaa mdomoni kama hajatoa mimba basi nenda mkacheki hormone apate tiba
Siamini kama ni wachaga wote ila nishapambana na mmoja tena wa Rombo mhh ni balaa jamani alikuwa na roho mbaya nilikimbia mwenyewe nyumba mbaya alikuwa pia mshirikina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.