teh teh eti JIPE MOYO ni kwer mkuu mpeni sifa zoooote lakin ikulu imepata mpangaji iko fulu nakuusu umaarufu aliupata tangu kitambo tu usimshushe mzee wa watu ila kwasasa KAZI TUU
mijitu mingine inasema eti nagufuli sio raisi wao........it doesnt make any sence yule ni raisi wa Tanzania kama humtaki HAMA nenda nchi yenye raisi unaemtaka....
HAPA KAZI TUU
ni kweri tunamsifu na kumuita loasa ndie raisi wetu lakin ukwer uta retain kua magufuri ndio raisi wa TZ kwa sasa tuachane na mambo ya siasa tukakomae na shughuri za maendeleo....tukumbuke kama tunaitaji mabadiliko ya kweli tukakmae na KAZI ndio msingi wa maendeleo na sio siasa wala raisi
kwa kura alizopata magufuri sithubutu kuropoka eti ccm wezi inamana apate kura 10000 alafu aandikiwe 43000 ata kamakuna wizi lakini apa uwez kuiba kiivo nadhan mwenye akili timamu atanielewa vizuri....funzo DON'T THINK WHAT U THINK IS WHAT OTHERS DO....Ndicho tunapokosana hapo mtu kwakua...
angekubalika na wananchi si tungeona majimboni angepata kura za kutosha ivi jaman kwa lile gape alilopigwa loaswa kwa mtu mwenye akili as great thinker unaweza kuisini kweli CCM imechota au tunafosi ushindani?
wanaojituma only need ccm wanaopenda mteremko wanataka mabadiliko wewe kama hujitumi upati mabadiliko zaid ya kubalid nguo tu uku unalalamikia ccm wanakunyonya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.