mmasai mmoja alikuwa safarini,huku amenunua chupi mpya na kuivaa,walipofika njiani akajisikia haja kubwa,akamuomba suka ashuke akafanye mambo porini,kwa kuwa giza lilikuwa limeshaingia,suka akamwambia angalia sana,sehemu hii c nzuri kuna wezi sana,jamaa kashuka na tochi yake,kajisaidia,kumbe...
kiboko lazma especially kwa students,hiyo ndo adhabu rahisi isiyopoteza muda kwa wote,mwalimu na mwanagunzi,maana ukitoa adhabu nyingine,itahitaji usimamizi,kitu ambacho ni upotevu wa muda
1.walimu wa hesabu wamekuwa wachache hivyo wanazidiwa na mzigo,hesabu inahitaji ufuatiliaji wa karibu,utakuta shule nzima kuna mwalimu wa hesabu mmoja tu,hivyo efficiency inapungua kwa kiasi kikubwa!
2.wanafunzi wamekuwa na negative altitude na somo la hisabati,sijui nani kawaambia hesabu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.