Ukitaka uchukue au ujaribu, kama hutaki acha, huu ni ushauri wa Mwendawazimu...
Ukiachwa au ukisalitiwa na mpenzi unayempenda unasikia kama maumivu fulani chini ya kifua kwa ndani (depression). Unakuwa na hasira, unakosa amani, unatamani kama kila saa uongee nae. Katika hali kama hiyo unaweza...
sio suala la research dada. nimetumia nano average... inaweza isiwe wewe, lakini habu fikiria kinadada wengi ulosoma nao, walikuwa walipokuwa 20-28, na kama watakuwa wamevuka, kwa sasa wakoje?
Kusoma ni sehemu ya maisha. Ninachomaanisha ni kuwa ukiangalia mwanaume na mwanamke wa umri sawa, at 28 mwanaume ndo anaanza kuenjoy maisha wakati mwanamke ndo anaanza kupigwa na majukumu ya kaisha...
Tulishapima katika hospitali kadhaa, hakuna tatizo lililothibitishwa. Siwezi kusema hakuna mwenye tatizo kutokana na majibu hayo, kwani najua uwezo mdogo vipimo katika haspitali zetu nyingi...
Ni miaka kadhaa kimeoa lakini sina mtoto. Kwa 'bahati mbaya' nyumba ndogo amepata mimba yangu. Siku-intend kuzaa nje ya ndoa. On one hand najua nitaitwa baba muda sio mrefu. But on the other hand naona kama ndio matatizo yameanza katika ndoa yangu. Nifurahi au nisikitike?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.