Search results

  1. A

    Naomba maelekezo kuhusu Health Information System

    ok fine tumeona mchango wako na wewe....ingawa ni WAKISENGErema
  2. A

    Waziri Ndalichako akijibu kuhusu mgawanyo wa mikopo TBC

    samahani kwa nitakao wakwaza Lakin MUHA(mwanamke) na MSUKUMA(mwanaume) wakikaa pamoja wanaweza kutengeneza MTOTO WA AJABU(bodi ya mikopo na michupa)
  3. A

    UDSM chuo baba

    hongereni sana UDSM na msihofu serikali ikihamia dodoma watoto wa WHITE UNIVERSITY(udom) we'll wear yo shoes and fight for wot we deserve
  4. A

    Prof. Ndalichako awatupia lawama Bodi ya Mikopo kufanya kazi kwa mazoea, arejesha posho ya 8,500

    hatimae ndalichako kasisitiza bodi irudishe 8500 per day kupitia tbc asema hayo....tunakushukuru kwa kutusikiliza pia utusamehe kwa matusi yooote
  5. A

    Waziri Ndalichako akijibu kuhusu mgawanyo wa mikopo TBC

    sina tusi la karibu alilonalo anikopeshe....kuna mtu anataka nimjue
  6. A

    Wanafunzi chuo kikuu cha Dar, wagoma kusaini fedha ya kujikimu (Boom)

    usibishane na huyo anatafuta kiki kupitia HESLB then ukute hata hajui kama inarudishwaga
  7. A

    Wanafunzi chuo kikuu cha Dar, wagoma kusaini fedha ya kujikimu (Boom)

    kuna umuhimu gani sasa ikiwa mtu unapewa 10%...be educated bas
  8. A

    Wanafunzi chuo kikuu cha Dar, wagoma kusaini fedha ya kujikimu (Boom)

    nyie ndo mpo karibu then mnaweza mkafanya kitu kwa the rest tuko nyuma yenu tunawaombea mfanikiwe kwa hicho mnachotaka kufanya
  9. A

    Nimeamua kwenda na mke wangu UDOM

    ety na boom...??? mtu wa kwanza sua anapewa 225,000 per semister kama mtakula nyas sawa
  10. A

    HESLB: Orodha ya Majina ya Waliopata Mkopo (Awamu ya Kwanza) 2016/17

    guyz muwe mnaelewa na hii nchi yetu yaan hayo majina ni ya udsm coz wenyewe chuo j3 na nyie mnao log in kwenye account zenu mnajisumbua hamtakuta kitu mtajitia presha tu coz server ya Tanzania iko COSTECH tu pale sayansi na watumiaj ni weng then hamna wajuz wa it utakuja ku log in ukute na mambo...
  11. A

    Masahihisho ya taarifa ya bodi ya mkopo

    we kama nani au unafanya kazi heslb?
  12. A

    Waliochaguliwa UDOM-CIVE

    nimechaguliwa bsc. HIS vp ikoje?
  13. A

    UDOM waachia majina ya undergraduate student batch 1

    bro nimechaguliwa HEALTHY INFORMATION SYSTEM unaipata
  14. A

    UDOM waachia majina ya undergraduate student batch 1

    oya mtusaidie kuiconvert bas hyo xlxs file ije kwenye reader za kawaida maana kizembe zembe haifunguk
  15. A

    Nimekosea kujaza wilaya kwenye fomu ya HESLB

    mimi nilikosea wilaya...ninayoishi
  16. A

    Nimekosea kujaza wilaya kwenye fomu ya HESLB

    miss confidence .......mm naambatanisha na barua ya kukosea
  17. A

    Nimekosea kujaza wilaya kwenye fomu ya HESLB

    yaan nimekosea kuandika wilaya baada ya kinondoni nikaandika ilala sasa nishaprint kama kuna mtu anaexperience na haya mambo anisaidie
Back
Top Bottom