Search results

  1. R

    Maandishi haya yanaitaji akili y'all ziada

    Anaandika Askofu Benson Bagonza Jizoeze kuvuta pumzi na kufikiri. Hii itakusaidia kujisikiliza kabla hujategemea kusikilizwa na unaowahutubia. Uwezo wa kujisikiliza hukuwezesha kutambua kweli hizi: 1. Haki na madaraka ya kumpiga mtu haimwondelei mtu huyo haki ya kulia. Kwa hiyo kumchapa mtu...
  2. R

    Peace is possible only by fighting

    Msemo kutoka Korea ya Kasikazini,kuna ukweli wowote? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. R

    Kwanini Tanroad wanaweka vibao vya 50k/h kila eneo na kwanini serika haiondoi matuta barabarani?

    Nilimsikia juzi boss wa Tanroad akisema "Hakuna kitu rahisi kama kutengeneza road signs kwenye tenda tunawaambia wakandarasi wajaze kibao road sign moja Tsh 500,000 akimika 20 Fedha tunapata. Kwahiyo signs hizi hata kama ni km 5 tunaweka za kutosha. Kwaupande wa matuta Kuna habari zinadai...
  4. R

    Nimetonywa kuwa kila Tsh 30,000. anazochukua traffic anapewa Tsh 7,000

    Nilikuwa naongea na mtu wangu wa ndani,akanimbia kila kosa traffic anapewa 7,000.Ndiyo maana traffic wanapiga faini kwa kwenda mbele.Ninachoofia jamii ikichoka ,moto utakaolipuka kuzima hakutakuwepo.Amani tunayoihubiri itageuka Somalia au Libya.Mungu atupe maisha naona siku zinakaribia
  5. R

    Kuna haja ya kubadilisha gwalide la Tanzania

    Tukiangalia parade za Korea kasikazini utapenda.Ukiangalia wanajeshi utatamani. Mimi kwa miaka mingi sioni mapya kwenye jeshi lenu.Gwalide ni lile la mwaka 47,kuvunja matofari ni kitu cha kawaida.Au macho yangu hayaoni
  6. R

    Uchumi wa Tanzania ni taxation economy au production economy?

    Kama kila idara ya serikali ni kukusanya fedha, polisi barabarani wako tayari kusababisha ajali lakini wakusanye fedha. Sasa uchumi wa Tz ni upi?
  7. R

    Hivi polisi ww Tanzania ni wakusanya mapato au walinzi wa raia

    Mimi sijui kama kuna umuhimu wa kuwa na polisi,kwa sababu ukifikisha shauri polisi umeisha.Trafiki wako barabarani kunyanyasa raia kwa kulipa faini za ujinga.Hivi polisi wanajisikiaje kwenye dunia,maana watanzania nu waoga na mbumbumbu
  8. R

    Sadness causes more road accidents than tiredness

    Kuendesha gari ukiwa na uzuni yamkini ya kupata ajali ni kubwa sana kuliko uchovu.utafiti uliokutolewa na wataalamu unadai ajari za barabarani asilimia kubwa zinasababishwa na vitu viwili uzuni na uchovu.Hivi ukipigwa faini na police mara nne kwa siku si utapata uzuni ,kwahiyo yamkini ya kupata...
  9. R

    Hivi viongozi wa nchi yetu kweli wanawatumikia wananchi au ni geresha

    Nimeangalia tv ya Rwanda Rais wao akiwaonya wanyarwanda kwamba hatakubali mtu wa kurudisha nyuma nchi hiyo miaka 100 nyuma.Hivi viongozi wetu wanatupeleka mbele au nyuma. Ili nchi ipige hatua lazina ujali muda ,kiongozi anaweza kujisifia kuwa amepunguza muda wa kutoka Kimara mpaka posta kutosa...
  10. R

    Kuendesha gari Tanzania ni kukaribisha umaskini wa kupindukia

    Watanzania wengi hatujitambui na bahati ni watanzania kidogo walio na huruma kwa wenzao. Nimeendesha gari toka Arusha kwenda Ngara, nilipofika Babati nikasimamishwa na polisi akasema umepita kibao cha 50 ukiwa na 54 faini 30,000 nikalipa. Nikatembea taratibu sana kufika Dareda nikakutana na...
  11. R

    Nimeamua kumfuata shetani, kwakuwa Mungu sijawahi kumwona na wafusi wake ni wanafiki sana

    Walokole wanadai wanamwomba Yesu awapelekee naombi yao kwa Mungu mwenyezi.Na wanapiga kelele na kunena kama vichaa,kiasi cha kuwaombea kifo. Kwakuwa shetani wanayetwambia yupo na wala hajawai kuonekana na wala hana mafundisho yake naomba niwe mfuasi wake maana hana kelele hajawai kuitisha...
  12. R

    Ni lini serikali itapiga marufuku makanisa ya kilokole kwenye makazi ya watu.

    Kwakweli hatulali ,naomba serikali tukufu iwapige marufuku wachungaji wa kilokole wanavyoondesha kelele kwa kutumia vipaza sauti vikubwa ni wasumbufu kama siafu. Naomba serikali itenge poli au kisiwa wakae huko maana tunashindwa kupunzika na kufikiri namna ya kuongeza kipato.
  13. R

    Naomba Rais wetu apande basi, akitoka atapendekeza speed iongezwe

    Kwa watanzania asilimia 80 ni wanafiki ,wakatili,wasiopenda Maendeleo ya MTU. Speed 80 km/hr ni upuuzi. Polisi, SUMATRA wanaweka matuta barabarani pamoja na vibao vya speed ni wanafiki. Mtukufu Rais naomba upande basi toka Dar mpaka Dodoma uone kama mwendo wa kinyonga ni sahihi?
  14. R

    Mini maana ya mafie?

    Nimekutana na neno ili limeandikwa kwenye Hiece zaidi ya tano Arusha. Lingine limeandikwa Roho zetu Mafie. Naomba wanajamvi kwenye uelewa anijuze.karibu
  15. R

    Tuchambue Halmashauri za upinzani zenye mafanikio na ambazo ni kero

    Sins shaka Manispaa ya Kinondoni,Ilala wanafanya vizuri na ni mfano wa kuigwa.Halmashauri ya Arusha wako vizuri sana.Kuna Halmashauri haijawai kumaliza kikao ni asubuhi mpaka SAA 5 usiku,matusi na kejeri ndicho kinachojiri ,chadema fuatilieni madiwani wetu tuwafundishe utawala bora,kwakweli ni aibu.
  16. R

    Raid mulika Halmashauri zinazoongozwa na vichaa

    Kuna Halmashauri tatu nchini lazima zivunjwe kutokana na viongozi kuwa vichaa.sins budi kuzitaja zinaeleweka,vikao mpaka SAA NNE usiku.kuanza kikao baada ya SAA NNE ni SAA saba ,hawaongelei Maendeleo Bali fitina. Rais vunja Halmashauri hizi.
  17. R

    Tetesi: Madiwani wa Meru DC na Arusha wapania kufukuza watumshi wote

    Kilichoko Meru Dc na Arusha Dc kinatisha.Madiwani wanakaa na kuazimia kuondoa mtumishi yoyote ambaye hakubaliani na matakwa yao,wanafanya vituko vya kufedheesha jamii.watendaji wa kata hawatakiwi na madiwani ,wakuu wa Idara hawatakiwi na madiwani ,yaani ni shiida.Mkuu wa wilaya Arumeru ameitisha...
  18. R

    Hivi kuna mtu anamjua Diwani Mafie wa Meru Makamu mwenyekiti?

    Kijana mdogo ana roho ya kuua ni hatari zaidi ya shetani
  19. R

    Faini za barabarani zinatosha kuendesha nchi

    Ukiendesha gari katika jiji la Dar es salaam labda uwe malaika ,traffic akikukaribia ni elfu therathini tu adhabu.ataanza leta lesseni ukimpa,leta kadi ya gari ukimpa ,fire extinguisher,triangle kabla hajamaliza faini. Mwingine anakwambia kwanini ujanyoa ndevu faini.yaani nchi sasa ni...
  20. R

    Usafiri wa basi Tanzania ni kero

    Nilipata kutembelea highway moja inayounganisha Singapore na Malaysia, utakiwi kwenda chini ya km 110 mabasi kweli yanakimbia. Kwakweli duniani ukisikia highway kuwa makini unapoingia kwenye barabara hizo. Hapa Tanzania kuna vibao vya 50Km/hr zaidi ya 120 kutoka Dar_Arusha, ukiangalia logic ya...
Back
Top Bottom