Kwani kama anamunga mkono mpaka ajiondoe ndiyo CDM ndo iwe vizuri na kwanini aliomba kura halafu anakuja baada anasema kwa lugha nyepesi kuwa mimi nimeachia ngazi namuunga mkono rais basi kama rais anaweza kufanya yote hakuna haja ya kuwa na wasaidizi wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh analalamika sana kuhusu neno majizi kuwa nchi hii ina majizi sasa kama yeye ana vyombo vya dola halafu anakuja kulalamika kwangu mimi mtu wa hali ya chini anategema mimi ndiye nikawakamate hao majizi kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Uchunguzi ufanyike kuangalia ni kiasi gani waumini wengi wameacha kwenda kanisani kwasababu tu vyongozi wa dini kufungamana na serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapadri wanatakiwa kusoma alama za nyakati pia watu sasa hivi wana uelewa sana kupita kiasi na vyongozi wa dini hawatakiwi kuunga hoja zinazokuwa zinatolewa na watawala maana unaweza kuwaudhii waumini wasiofungamana na huyo mtawala.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni uongo kweli alichosema TL au na kiukweli mpaka sasa kuna ukabila au hakuna ukabila kwenye gvt yetu, taifa letu linapita katika kipindi kibaya sana maana tumepata vyongozi wanaochukulia nchi kama sehemu ya mtaji wa maisha yao na wakiamini kuwa wao ndyo waumini wa nchi hii tu.
Sent using...
Sijui kwanini watawala wengi wa afrika wanakuwa na tabia hizi kuna kitu huwa nalaani sana kwanza kabisa namlaani mtu aliyetunga au kuunda katiba ya mwanzo na kuweka neno rais asishitakiwe yaani huyo mtu basi mungu wake amuangalie kiti chake pekee yake na kama yupo mpakaa Leo hii ajiulize sana...
ndg waziri wa miundo mbinu je unajua kinachoendelea na ajira ambazo mameneja wako wanatangaza halafu watu hawaitwi kwenye usaili, je kunanini? kinachoendelea mbona majina hayajawahi kuwekwa gazetini kuonyesha wanahitajika kwenda kufanya interview au mnawaonea tu watu wa uhamiaji tuanomba waziri...
uhamiaji ni chambo lakini ukweli ni kwamba sio uhamiaji tu waende mbali zaidi kwa mashirika kama tanapa,pspf.lapf,nssf nhif na mashirika mengi uozo upo tunaenda kufanya interview kwa kukamilisha colum,kama kweli kuna dhamira ya kweli basi uozo huo ni mwingi kwelikweli sisi watoto wa wakulima...
Watanzania shida kubwa tulionayo Ni umaskini wa fikira na kukubali kununuliwa ila kwa upande wa kigoma jamani ule Ni mtaji wa wanasiasa maana Kuna umaskini wa kutosha afu wanasalitia na haya huyo zito hapendwi poa jimboni kwake Bali pale mwandiga Tu poa serikali wajanja wameona gape la...
kwanza huyo elimu yake inasadikika hana shule ya maana anapita jimboni mwake kwa kuimba tu eti mgeni,mgeni huyu vp?mbona ccm ndiyo wanaongoza kwenda vyuoni kuwapa wanafunzi lunch na dinner wakati mikopo haijatoka ana na kufunguwa matawi huko ila chadema wakienda wao ni furugu jamani nyie wabunge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.