Achana na huyo asiyejielewa...wizi wa kura umetokea kabisa hapa Moshi usiku wa jana,watu wana mabox ya kura ambayo tayari zimeshapigwa. Upuuzi mtupu huu na sijui walipiga kampeni ya nini sasa.
Yaani watu wanafanya wizi wa wazi kabisa hebu jiulize hao makada wa CCM walitoa wapi mabox ya kura ambazo tayari zimeshapigwa? ni nani kawapa hayo mabox ya kupigia kura? Huu ni upuuzi wa hali ya juu. Hili la hapa kilimanjaro ni la kweli kabisa limetokea usiku wa jana
Yaani ungekuwa hapa Moshi ungejikatia tamaa na kujiuliza sasa CCM walikuwa wanapiga kampeni za nini? Yaani ni wizi wa wazi kbs walikuwa na mabox kadhaa ya kura zilizopigwa tayari kwa mgombea wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.