Unabaki na pesa, huna elimu, na hiyo pesa, unaipata wapi ya, kufanya biashara,!? Wazazi, wako,wanakupatia? Just like that, yaani mtoto wa miaka, 22,wazazi, wakupatie milioni 10,ufsnye biashara ufanye biashara baadala ya, kukulipia Ada ya chuo?!
Nadharia, tupu! Kwanza, hiyo ten M, hqipatikani...
Kama alikuwa ananyanyasika, mlitqka afe na tai shingoni? Sie wanaume wa kiafrika, tunajuana, tunapenda wanawake wawe chini yetu kama watumwa!
Wajameni, ukiwa, na, mke mama wa, nyymbni, jinsi unavyomtuma akuletee ghahawa, chai, chakula, akupelekee maji bafuni, siku akiwa CEO wa, kampuni, au awe...
Propaganda hizi ni upuuzi, tu, Rwanda ni maskini tu, Kagame amejitahidi kuiweka nchi pazuri, lakini bado sana, hao Watusi wenye akili wamevumbua nini? Ni wa babe wa bidhaa gani? Vietnam wana halotel, IPO dunia nzima, Taiwan wanaongoza kwa kutengeneza electronic chips, Israel wana tekinolojia...
Nchi imejaa viongozi vichaa watupu, unamuwekaje ndani mchina aliyekupa mkopo wa kujenga hiyo miundombinu?
Pesa inatoka china, mkandarasi katoka china, kwa ufupi mchina anatusaidia! Sasa unamuwekaje ndani mkandarasi wake? Siasa za kipuuzi hizi!
Hii ni sawa, na mtu anakudai bilioni kumi, harafu...
Mchawi ni ccm, wanajua w anachokifanya, kama kwa uzwazwa wetu huu, tumeweza kuwa na chadema, na tundulisu mmoja, na tunawachachafya ma ccm mpaka sasa hv yanatishia kutupoteza hadharani! Fikiria nchi ikifunguka, tukawa na Tundu lisu 20! Si yatakufa kihoro!
Hizi njaa hizi, hapo waliaidiwa pesa ndefu, na huyu mmoja, bila kujua anaweza kuonekana kwenye camera, anamsisitiza mchina,aje upande huu, anampisha kabisa
Tena wale wa tumbo moja, ndio balaa, nimewahi kutimuliwa na ndugu yangu nyumbani kwake, tena nyumba niliyomsaidia milioni 10 yq kuanzia kujenga! Sikuwahi kuidai! Hapo ndio nilipoamini wahenga waliposema, ndugu ni kufaana sio kufanana!
Changamoto za maisha, na malezi sana sana yq kiafrika, swala...
Acha ujinga,hapa, kwetu wanasiasa ni wezi, na ma fisadi, hawataki watu waongee na kukosoa ili waibe na mazambi Yao yasionekane, hii nadharia yako hebu jaribu kuwaambia wa Senegal uone kama watakuelewa, kuongea kwao ndio kumesababisha demokrasia ikashinda ikamtoa dikiteta madarakani,
Tofsuti na...
Hii lazima uzikwe mapema! Unatakiwa kufanya kazi(sio ajira) mpaka siku unakuta, au, uwe kikongwe kabisa, lakini Kati ya 60 mpaka 77! Kama, afya inaruhusu, shughulisha mwili, gym kidogo, kutembea, shamba, au, mifugo, usikae ndani, ni hatari!
Ninafanya kazi, na mtu wa miaka 62! Yupo makini, ana...
Kwa, kila tsh 100 tunayokusanya, tsh 47 ni mishahara, matumizi ya kawaida, 60 tunalipa madeni,hapo kuna nakisi ya tsh 7,lazima tukope kujenga balabala nk
Namba 5,nimekuvulia kofia,Ila hapo namba 11,ustaafu ukiwa Kati 40 na 50! Bro!!! Bongo hii hii au ulaya? Unamaliza shule at 24yrs to 27,mpaka upate ajira, uoe ujenge, imefika 40! Firstborn hata kumaliza chuo bado! Cha muhimu ni kujipanga, nipo shirika moja la ulaya, watu wanastasfu at 60!, lakini...
Waturuki ndio wana tender yq, bwawa la nyerere, waturuki wamejazana Kigamboni, waturuki ndio watakula tender ya mwendokasi!
Hizo, tuzo, hazina,maana, yoyote maana huyo aliyepewa hata masters ya kitu chochote hana!
Hizo, tuzo ni sawa na alizokuwa anapewa idi amin, au Mobutu, huku nyuma wanaiba!
China wanatafuta ukubwa, kupitia manufacturing industries, wanahakikisha wanaweza kutngeneza chochote duniani,
India kwenye technologies nk,
America, ulaya, military and technology industries, Afrika haijulikani tunatafuta ukubwa katika nini! Labda, kukata mauno insta, kuteua na kupangua, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.