kwa wakati huu ni vyema tungepata taarifa kutoka kwa msemaji maalumu wa familia au aliyeteuliwa kwa ajili ya kutoa taarifa rasmi kwa umma.
ili tuwe na taarifa sahihi.
nami pia ni mhanga wa hili.
toka tarehe 15/02/2013 hadi leo sijapata 60,000/= zangu nilizozitoa kwa kupewa namba isiyo sahihi na wakala.
pamoja na kupiga simu saaaana,niliishia kuambiwa msumbufu na kashfa mbalimbali kutoka kwa wahudumu wa vodacom.
kama tcra watapita humu basi watupe njia ya...
Mungu ninayekuabudu,mwingi wa amani,iponye tanzania.iponye africa mashariki,iponye africa na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
waondoe viongozi wenye hila,waliojaa chuki,wivu,chokochoko,wasio na uvumilivu au unyenyekevu,wanaopenda sifa na majivuno,waliokosa subira.Mungu tupe amani,umoja na amani...
hivi huyu aliyetoa thread hii,!,ni kweli hajasikia kuwa waziri katamka madhara yaliyotokea ni pamoja na mtu mmoja kufa?
ndugu kupotosha pia ni DHAMBİ.
Uko wizi wa chinichini mpesa.mi nilipewa namba isiyo sahihi na wakala wakati natoa fedha.badala yake kiasi cha sh.60,000/= nilichotoa kikaenda kwa wakala mwingine.nimewataarifu vodacom (15366) muda uleule tukio lilipotokea yaani 15/02/2013...!wananizungusha tuuuu.mara wanasema wakala hapokei...
Kumbukeni graduates,HATA MBUYU ULIANZA KAMA MCHICHA.Hakuna aliyefanikiwa bila kuanzia chini.hata bakhresa alianzia kushona viatu,Mengi alianzia kuuza gololi za pen(bic)!!.Kubali kuanzia chini na uwe na ndoto ya kufika juu,..,.Kazi yeyote halali ina faida kubwa kuliko kutokuwa na kazi!
Msikate...
ukishatoa hiyo rushwa kisha utirudishaje?
watanzania mwogopeni Mungu.rushwa ni dhambi tena adui wa maendeleo.
ukishapata kazi kwa rushwa nawe utatoa kazi kwa rushwa.kisha utaendelea kupanda mbegu hiyo kwa wengine.
wewe ni mtu wa kuogopwa kama ukoma.rushwa sio jambo la kujadili ni la kuepukwa...
nssf ubungo wandungu ndo inatisha.
kwanza hapo mapokezi hawana kauli nzuri na wala hawajali wayeja wao.
pia rushwa nimaisha yao.kuna rafiki yangu alinisimulia aliombwa rushwa ma kiongozi mmoja.akapata mafao yake ndani ya wiki moja.
kuna mtandao mpana sana.
ila hata kma serikali haitaki...
mdogo wangu anasoma hapo bagamoyo.gazeti la nipashe halijakosea kitu.yaliyosemwa ni kweli. kuna mgogoro kati ya waislam na wakristo.dogo pia alirudi toka j3.
ishu ni kwamba al kaida wanaanza kupanda mbegu ya chuki mashuleni.
hao wanafunzi wa kiislam wanashinda msikitini baada ya sala wanaanza...
kuchanganya "r" and "l";hili nalo ni janga.tatizo ni waalim waliowafunza.!
meanwhile:
chukua idea ya Chakochangu.fikiri nje ya box.Utakuwa mwajiri badala ya kuajiriwa.
usikate tamaa kamwe,utashinda
mbegu ya chuki na udini ilianza kupandwa mwaka 1985 wakati mihadhara ya kukashifiana ilipoanza kufanjika na serikali kutokuchukua hatua ama kwa makusudi au kwa uzembe.leo ni miaka 27 serikali ndo inavuna matunda yake.Mungu iponye Tanzania na machafuko.
serikali haiwezi kukwepa lawama ya kumlinda huyu shekh.ameonekana ndiyo kinara wa kupanda mahubiri yenye kujenga uhasama chuki ubaguzi na yafananayo na hayo kwa muda mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.