Jana wakati nasikiliza BBC kuna mchambuzi mmoja toka Libya akawa anaelezea maisha ya wananchi wa Libya kwamba, ELIMU BORE BURE,AFYA BORA BURE, UMEME NA MAJI BURE NYUMBA UNAPEWA NA SERIKALI BURE,Na zipo nyumba kama 7000 hazina watu. Mchambuzi alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa hadhi ya hospital...
Mi nasema ushabiki kwani CDM ndo walikuwa wa kwanza kuliongelea hili suala bungeni, lakini Makinda akasema siyo jambo la dharula hivyo wao walijua kuwa litatokea, na ndio maana rais alikimbilia kuwapoza wahanga.
Sasa kuna mtu anahoji mbona CDM hawajaonekana si kila mtu anayeenda Gongo la Mboto...
Regia Mtema alisema kuwa siku hizi huwezi tofautisha mtu mwenye Phd na fist Degree wote thinking capacity yao ni sawa tu alikuwa anaamanisha wasomi kama hawa akina Bana,wabunge wa ccm wakaomba mwongozo upuuzi tu
Acheni ushabiki wa kisiasa cdm waende au wasiende uzembe upo palepale, unaenda kuwapa watu pole wakati unajua wazi uwezekano wa kuzuia hayo maafa ulikuwa ndani ya serikali tawala, sasa unasema pole ukiungana na mafisadi ukijidai eti ni bahati mbaya wakati mwingine unafiki tuuache jamani
acho uongo wewe,maposho kibao yanatoka wapi? mwalimu anamakongamano na semina za wapi, nesi, askari polisi magereza jwtz hizo semina wanafanyia wapi? na watumishi wengine wengi hizo posho wanazipata wapi?
pole ya nini wakati anajitakia kwani angekaa nyumbani kwake akampikia mumewe angepata hiyo ajali? kiherehere tu bora angekufa yeye kuliko huyu dreva anaacha pengo kwenye familia yake bila sababu ya msingi eti msafara wa Salma Kikwete
LOWASA tunakusubiri 1015 utukomboe anza kubadilika achana na tamaaa, mali ulizonazo zinakutosha,lakini familia ya kikwete usiipe uongozi wowote hata wa nyumba kumi
Ni kweli Tanzania inahitaji kufumuliwa na kujengwa upya kama Tunisia kwani mfumo uliopo hauwezi kujirekebisha wenyewe hata uunde tume za maadili 100, kwani Rais anawateua ma DC, RC, MAKATIBU, WAKUU WA MASHIRIKA, MAWAZIRI, WAKUU WA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA, na wengine wengi, anapotokea DC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.