Hawa ni wakuteketeza failia yote kwani wameshawapandiza mpk watoto wao wananchi tuamue sio wa kuwaacha hawa wewe angalia hata bungeni walichofanya ccm ni kupitisha kila hoja na kuzima ya tundu lisu hawa watu ni
hatari jamani
Hii ni salaam kwa dk slaa, na mbuge wake wa jimbo la ubungo huyu Diwani wenu wa kata ya sinza anakitia aibu chama na anakatisha tamaa
kwa wapiga kura yeye anapenda pombe kuliko kazi hakuna jambo la maana analosimamia zaidi
ya magomvi ya kwenye Bar mkalisheni huyo atatutia aibu 2015 tafadhari...
NDUGU WANA JF HAWA CCM WAMEKUWA WATAFUNAJI WA MALI ZA UMA KILA MAHALI ANGALIA KWENYE SECTOR YA BARABARA PESA ZINAZOTOLEWA HAZILINGANI NA UBORA WA BABARA YENYEWE WATANZANIA TUNAWALAUMU WACHINA WACHINA WANAFANYA VIZURI MONO TATIZO NI WASIMAMIZI WAWAOMBA SANA RUSHWA HIVYO HATA KIWANGO CHA...
CCM ni wezi wote January Makamba sio kama ana akili nyingi, mboana yule kijana anayemwandika presentation zake ni mtoto wa mlala hoi kwa nini wasimpe cheo chocote katika chama hao wamepeana il walindane kaka
Hakuni kitu hao huwezi kupiga kampeni ya maambukizi ya ukimwi wakati una nyumba za wageni nyingi CCM wote ni Mafisadi hawana jipya
magamba wanaweza kuvua,sumu itaondolewaje?
Harafu huyu MREMA WA TANROAD nafikiri kawekwa pale kwa masilahi ya wazee kwani kwa kila contract anayofanya na wachina
anapewa 3% ya value of contract je ni Barabara ngapi zinajengwa nchini huyu mtu ni bilioner haondoki pale fatilia taarifa hii
kuna kampuni ya SOUTH AFRICA INAITWA ...
Ilikuwa ni halali yao pita sinza barabara za street ni kama njia za ngo,mbe nani awape ulaji hawa wahuni
walileta magari ya taka mitaa yote kipindi cha uchaguzi toka city lakini leo kuna taka zipo toka siku ile ya uchaguzi mpk leo hao ndio sisiem
ni kama wairaq kaka
Hawa sisiem ni hatari tuanze mapema kuwaelimisha wenzetu ambao wana vichwa vya chuma
kwa 2015 kwani vinginevyo tutateseka mpk mwisho wa dunia hawa sisiem ni hatari kushinda wairaq
Natambua kuwa huyu mwakin,ginda angeiuza tena hiyo miti kwani kwa tabia zake za kuuza open space ndiyo maana hiyo miti iliamua kujikausha
baada ya kuona amegombea tena kwani huko c.c.m hawakuwa wogombea wengine? hayo ni
majibu ya mungu kwa mwaki,nginda kafa yeye na miti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.