CCM jimbo la Muhambwe inakwenda kupasuka vipande vipande endapo Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana atashindwa kukemea RUSHWA zinazotembezwa na watia Nia hawa, Eng. Nditiye, Anderson Njiginya, Tutuba, Moshi Majungu, Jamal Tamim, Kigaraba, Edgar Mkosamali, Kijiko.
Hali imekua mbaya sana baada ya...
Nick Kilunga mwenyewe amekuja na ameweka wazi azima yake hapa, na ukweli usio pingika Mkosamali ni mbinafsi sana na alizorotesha harakati za ukawa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kwani hakutaka kushirikiana na vyama vinavyounda ukawa. Sasa wale ambao wanadhani siasa ipo nyuma ya...
Tatizo unaendeshwa na siasa za kwenye mitandao na bendera fuata upepo, October sio mbali utapata jibu kama Mkosamali anahitaji Mkologo wa kisiasa ama lah!
Hali ya kisiasa ilivyo katika jimbo la Muhambwe ni mbaya sana kwa upande wa Mkosamali, kwani Mkosamali tayari amepoteza mfuto kwa wapiga kura wake licha ya kuongea sana Bungeni na vijana wengi wa Ukawa hapa jukwaani kuonekana kumuunga mkono ila wasijue hali halisi ya siasa ilivyo Kibondo...
Hakuna cha maneno mengi, wenye maneno mengi ni wakina Chikola Sarundari na Kennedy Sarundari kama ingekuwa maneno ni mtaji wa kisiasa basi hawa watu wangekuwa wabunge muhambwe maana ni mafundi wa kuongea. Ukweli ni kwamba CCM kibondo wanamuhitaji huyu kijana ili aje kumchomoa Mkosamali saa 4...
Huyu NDITIYE nae eti anataka UBUNGE, Anashinda vijijini anagawa pesa kwa wananchi, ngoja vijana tumfungie kazi tumwekee mtego wa PCCB maana hana sifa ila anang'ang'ania harafu anajifanya ni Engineer wa Tanesco wakati hafanyi kazi. Mapigano For Muhambwe
Kijiko hana nafasi Muhambwe hata akatambikie mizimu, hatuwezi kumpa Ubunge Kijiko ambaye ni mlevi wa kupindukia hata huo ukuu wa mkoa amepewa tu ila hafai kuwa hata katibu KATA kwa tabia zake. Kwanza alisema hata yeye angekuwa kwenye nafasi pesa ya Escrow ikapita mbele yake angekula kwani ile...
Nduhilubusa Mapigano ndio jibu ndani ya Chama cha Mapinduzi Kibondo na ndio kijana anayekubalika na kila rika Muhambwe. Karibu sana Kijana wetu Nduhilubusa Mapigano......
Watoto wengi wa wanasiasa na baadhi ya wakubwa wa nchi wamekua wakipewa mikopo na bodi ya mikopo ya elimu ya juu wakati hawana sifa za kupata mikopo hiyo. Wengi wa watoto hao huwa wanapewa scholarship nje ya nchi kupitia wizara ya elimu na wengine huwafata wazazi wao ambao ni mabalozi nje...
Sisi wanafunzi wa kitanzania nchini Urusi ,tunakosa huduma za msingi kama vile malazi , chakula na bima ya afya.
Serikali kupitia bodi ya mikopo ya elimu ya juu na Wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi ,kwania njema iliamua kusomesha wanafunzi wa kitanzania katika nchi mbalimbali duniani...
Nyumba ya ubalozi iliyo urusi ndio ilifumuka paa,yani ilikua kama bahati tulikua tumpoteze, Ilibidi aweke sherehe ndogo ya kumshukuru Mungu kwa kumponya....
Balozi Jaka Mwambi wa nchini Urusi alinusurika kuangukiwa na paa la nyumba ya ubalozi. Inasikitisha sana ukiona jinsi ubalozi wetu ulivyo kwani umechoka sana na ajabu ripoti ya mkaguzi mkuu (CAG) ilibaini kua kuna ubadhirifu mkubwa kwenye ubalozi huo zaidi ya Tsh 440 milion hazijulikani zilipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.