Kheri ya mwaka mpya kwa wana biashara wote.
Nimepata deal la second hand car tires kutoka moja ya wadau wangu wa muda mrefu. Mdau huyu anasema ana uwezo wa ku-supply haya magurudumu kwa kiasi cha contena ya futi 20 au 40 kila baada ya muda mfupi kulingana na mahitaji ya soko. Magurudumu haya...
Wengi wameongea suala la mimba, kwa mtizamo wangu kama utampa mkeo ujamzito utafanya zoezo la yeye kuungana na wewe kiwa gumu zaidi.
Hii ni kwa sababu hawa watu wana utaratibu wa point based katika kutoa visa zao. Miaka michache iliyopita kila kichwa cha muombaji aliye nje ya UK kilikuwa...
Nina waswasi ni hiyo 20b USD kuwa budget ya uwekezaji wa Wachina kwa bara zima la Africa, pengine mwandishi alichanganya. Kwa record zilizopo hivi sasa budget ya Wachina katika uwekezaji ndani ya bara letu inakadiliwa kuwa 200b USD hizi ni figure za (2012) ambazo zimeruka ghafla kutoka 12b USD...
Kimsingi mfumo huu unasema kuwa watoto waliofaulu ndio wana akili sana na wale waliopata division zero hawana akili. Lakini ni akili gani tumepima - ni ile ya darasani.
Tuondokane na alama ya 'division zero'.
Unakubali au unakataa?
Mzee Mwanakijiji kuna mantiki kubwa katika hii haya yako-...
Kama niko sahihi Kiranga ameuliza Methodology yaani how well did they argue from the analysis of their data to draw, defend and/or generalise such a terrible conclusion). Kumbuka kuwa kuna vitu vingi sana vinavyohitajika ili kupata warranted inference, japokuwa hatuna research nzima, kwa dibaji...
Few things to make clear, first of all, I am not here to defend the man and we do not know each other in any way.
Second, I may have had some few typing and spelling errors from my previous post as somebody noticed, but i hope it still portray my advocacy substantially. It did not googlise...
What do you mean by ''theory za darasani'' do you mean materials included in text books? If so, then that is not the ideal uses of the word THEORY. Having said that I am not blaming you for this, since I understand that this word has often misused and misunderstood by most people including but...
Arnolds, maswali yako ni general sana, lakini nitajihidi kukujibu hivi na kwa ufupi sana; hivyo vitu vyote ulivyotaja hapo juu vinaweza kuwa printed kwa kutumia machine tofauti tofauti:
1: using normal printer:- Please note there are just normal printer which can print even t-shirts, most of...
Uswe, tunaweza kukufanyia kazi zako zote, yaani kupiga picha, banners na leaflets kwa ubora wa hali ya juu pasipo gharama kubwa. Moja ya mashine yetu ina uwezo kwa kuprint up to 44 inch with crystal clear pictures. karibu sana O717 418929
nashukuru kwa taarifa sisi tumeibiwa kuku 248 juzi tu na ndo mara ya kwana kufanya mauzo, tulikuwa bado tunajiuliza ni nani aliyetuibia kuku wetu na kwa namna gani pasipi kupata jibu, sasa nimepata jibu kwani watu hawa walikuja na kununua kuku miatatu hivi.....aahsanteni kwa taarifa hizi hapa JF
Suzuki Grand Vitara Manual 2001year 2.5LPetrol 5 Doors, Manual, 4x4, Petrol, 80,000 miles, 1 Registered Kepeer since imported, Service History, Power Steering, Electric Mirrors, Drivers Airbag, Passenger Airbag, Central Locking, Immobiliser etc. Please note that this is a quick sale vehicle.This...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.