Ilishawahi kunikuta hali kama yako miaka mingi nyuma. Kula papai, ndizi, kunywa maji sana, wapi ikakataa.
Mtu mmoja akaniambia utakuwa na ngiri, ngiri huwa inazuia choo pia. Nikaenda pale Kariakoo Sokoni
Niliwahi kutumia hii kwangu, kuchoma na kimwaga. Hiyo sehemu ilikuwa kila mara bundi wanasogea na kusumbua, mtu aliyekuwa anaishi pale alikuwa hapati usingizi. Mwezi wa 4 huu, bundi hawajai kusogea tena, jamaa analala vizuri na lepe la usingizi.
Kuna uzi kama huu.
Kuna chumvi ya mawe, hii inapatikana Mikoa ya Pwani, baharini.
Kule Mikoa ya Kaskazini, Maeneo ya Hanang, kuna Ziwa linaitwa Ziwa Chumvi. Humo unapata chumvi isiyo ya mawe, na magadi. Na wao wanaamini chumvi yao inasaidia kuondokana au kuepuka mabalaa yanayosababishwa na...
Kwa mtu yoyote, kama akilala anapata maruerue usiku kwa kujua au kutokujua, akianza kutumia chumvi kwa kuoga au kunyunyiza kwenye nyumba, hatua ya kwanza ni Kuanza kulala vizuri bila maruerue.
Nimeprove hii
Posta Tanzania
Huduma yao ya Tracking domestic parcel haifanyi kazi zaidi ya mwezi sasa. Ukituma document kwa EMS ndani ya Nchi haina tofauti na kutuma kwa njia za kawaida, huwezi kutrack, mtandao haufanyi kazi zaidi ya mwezi sasa.
Wabadilike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.