kwa kweli lazima niombe radi kwenu. kwa maana nilipoingia tu, sikuwa makini kupekua kila kona ya jamvi na kuona adabu za ukaaji wake. lakini kwa kuwa wenyeji ni waungwana na ma-intelligent, naamini mmenipokea. thank U sana.
Ni miaka 49 ya uhuru wa WADANGANYIKA! si ndio hao wanakamilisha nusu karne kwa tafsiri SI-Hasa (siasa) =Not real (Politics). Ole wao wadanganyika na usingizi wao fofofoooo.
Iwapo yeye anahisi kuwa yu mzito kuliko anavyotakiwa kuwa yaani anajihisi kulemewa na uzito wake basi ana tatizo la ziada. aende kwa tabibu, ila sio wale wa kutazamia bali wale wa kutibu. vinginevyo afunge -fasting- at least two dys a week. na inapendeza ikawa ni J'tatu na A'misi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.