YAANI AKILI YAKO NDIO IMEKUTUMA.KUANDIKA HUU UHARO.
HII MELI ITAPELEKA MIZIGO NA KUBEBA MINGINE MWIGOBELO (MUSOMA-MARA) HII MELI ITAFIK MPAKA KISUMu-KENYA, ITAKWENDA PORTBELL-UGANDA, ITAKWENDA BUKOBA na PIA CHATO.
MAENEO HAYA YOtE YANA WAKAZi ZAIDI YA 15Million.
Yaaani unaondoka Mwanza Saa...
Tanzania has been voted Africa's top-notch tourism destination in 2021, according to the World Travel Awards (WTA) results, with Serengeti scooping the continental's leading national park for the third time in a row!
#TanzaniaImara[emoji1548]
#KaziIendelee[emoji1241]
Hizi ni njia nne za mjini kuunga na ile 122Km Outer Ring Road inayoyengwa Dodoma.
Njia hizi ni ile ile Inayotoka Dom to Singida via NALA, Dom to Iringa via BIHAWANA, Dom to Arusha via MSALATO, Dom to Dar via MTUMBA [emoji813]
Uko sahihi
Game Over uko sahihi, huwezi kupuuzia
Beyond Tomorrow's Investment decisions ambazo Magu kaziacha.
Sisi tumejaa uswahili Swahili mwingi kiasi hata Kuhamia Dodoma watu wanapaona kama Chato. Yaani hata Daraja ya Busisi nalo ni kama upendeleo wakati mwisho wa siku ni masoko ya viwanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.