Mtoto hutakiwa kutoa kinyesi mala tu azaliwapo,hiyo kwanza n ishara ya uzima au alama ya kumuonyesha kuwa n mzma wa afya,"apgar score",kinyesi kipo na tangu tumbon huwa anajisaidia na kinyesi kile huchanganyika kwenye majimaji aliyomo then kuna namna hufanyika Maji Yale yanatakasika...
Mrdt ni kipimo cha biashara tuu lkn c cha maralia,ni kheri utumie b/s kuliko hiyo coz hata maralia parasite wakiwa chin ya 50 haiwezi kuditect,yaan c kipimo kabisa
Mkuu yaan viongoz wetu wanawaza matumbo yao tuu,n kweli kabisa katiba ya nchi ndo yeny umuhim na mchakato ulianza lkn ukaharibiwa,pia bwana mkubwa akasema hakuahd katiba mpya,yote n kwa sababu kaona inambeba yeye,leo ya chama kaona haimbebi ndo maana kawah kuibadili ili nayo iwe km anayotaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.