Search results

  1. Rural Swagga

    Good Old Days

    Hakika nimeimiss JF ya kuanzia mwaka 2012 kurudi nyuma...Ni mtizamo wangu(my opinion)JF now days kuna members wanazingua sana..mtu anaaanzisha hata uzi wa kipuuzi na unapata airtime ya maana tu..JF ya kipindi hicho hata ku-comment mtu unawaza sana.... sembuse kuanzisha uzi.
  2. Rural Swagga

    Baba Mchagga Mama Mdigo

    Baba yangu ni Mchagga wa Old Moshi Kilimanjaro Mama yangu ni Mdigo wa Maramba Tanga...Walibahatika kufunga ndoa Jijini Dar es Salaam mwaka 1985...Nimezaliwa Hospitali moja maarufu ya umma hapa Dar miaka ya mwishoni mwa 80/late 80's.... Swali langu sasa ili kuanzia leo nijitambue...JE MIMI NI...
  3. Rural Swagga

    Kesho ndio tunaenda kuufahamu unafiki wa baadhi ya watanzania

    Timu yetu ya Taifa (Taifa Stars)Kesho ipate ushindi wowote ule dhidi ya Senegal,hata suluhu na kichwa cha habari hapo juu kinakwenda kutimia. Hapa nilipo niko na Waburundi,Wazimbambwe,Waganda,Wakenya,WaSouthAfrica wenyewe bila kusahau Nigerians....Jamaa hawaongelei negative kuhusu timu zao za...
  4. Rural Swagga

    Very Interesting

  5. Rural Swagga

    Nimecheka Sana..............

    http://youtu.be/ezNduQlf_nA
  6. Rural Swagga

    Top Ten: Most dangerous Cities across the World

    Some cities are very famous for its unique architecture, some for its skyscrapers, some for its culture and nightlife, and some are for its scenic and natural beauty. But here, we are not going to represent such cities, but instead we are going to represent some of the most dangerous cities...
  7. Rural Swagga

    Fact

  8. Rural Swagga

    Awesome Story Must Read. . . .

    Husband comes home drunk and breaks some crockery, vomits and falls down on the floor... Wife pulls him up and cleans everything. Next day wen he gets up he expects her to be really angry wid him.... He prays that they shouldd not have a fight.. He finds a note near the table... "Honey..your...
  9. Rural Swagga

    Hali Ya Barabarani Tokea Dar hadi Arusha

    Habari za Jioni ndugu zangu Watanganyika. Kesho nina mpango wa ku-drive toka dar kuelekea Arusha,kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi ningependa kupata updates za njia ilivyo kwa sasa...Wahenga walisema heri kinga kuliko Tiba
  10. Rural Swagga

    Ngurumoi Moja Matata Sana......

    Waheshimiwa niko maeneo ya Mwenge Petrol Station (PUMA) Imegonga Ngurumo moja mpaka ninavyoandika hapa saa hii bado ubongo haujakaa sawa....Nimezaliwa Dar, Nimekulia Dar, Nafanya kazi Dar sijawahi kusikia ngurumo ya radi kubwa kama hii ya leo
  11. Rural Swagga

    Happy Birthday To Me

    25 Nov 2013...Mwaka wa 3 JF as a verified user/member.. pamoja na vurugu zote sijawahi pigwa BAN... Invisible eeeeh piga mm BAN hata ya Cku mbili for d sake of my Birthday. NAWAPENDA SANA SANA WANA JF
  12. Rural Swagga

    Smartphone za bei rahisi unazoweza kununua

    Habari za jioni,Nina kama shilingi za kitanzania 350,000/= je ni simu gani nzuri ya Android ambayo naweza kupata kwa pesa hii ama chini ya hapo.
  13. Rural Swagga

    Unconditional Love of a Dog

    This is a precious video of a young boy with down syndrome and a dog who is determined to make friends with him. This is a really beautiful demonstration of God's unconditional love for us despite us turning him away many times. Have a blessed long weekend mazee. [FULL] Dog Determined To Make...
  14. Rural Swagga

    Mmmmh..!!taifa langu

    TAIFA LANGU *Taifa ambalo mabinti zake wakimuona mzungu wanadhan ana hela *Taifa ambalo ukiongea kingereza unaonekana umesoma sana *Taifa ambalo ukiwa na simu nzuri we ni mjanja hata kama vocha unaweka jerojero *Taifa ambalo waliofeli wanakuwa walimu na mapolice *Taifa ambalo mtu kwao hawana...
  15. Rural Swagga

    AY Ahojiwa BBC - Focus on Africa

    AY Tanzanian Finest Interview at BBC World News 2013 06 14 18 52 40 - YouTube
  16. Rural Swagga

    Tahadhari:kama wewe ni mtanzania mzalendo/unaipenda nchi yako usitazama hapa

    mimi huwa nikianza kufikiria rasilimali tulizonazo,Madini(tanzanite,gold,almasi,rubby nk),Gesi,Mbuga yani vitu vingi sanaaa. Wakuu huwa nalia ndani kwa ndani. Tatizo ni nini haswa????
  17. Rural Swagga

    BARUA KWA DIAMOND PLATINUMZ na MAMA YAKE MZAZI

    BARUA KWA DIAMOND PLATINUMZ na MAMA YAKE MZAZI mbeya region P.O.BOX 0759209081 MBEYA dear diamond.... sina imani we ni mzima wa afya kutokana hasa na mambo unayofanya kiukweliii katika wasanii wakali mpaka kupitiliza hapa tz wew ni mmoja wapo.. napenda sana vibonzo vyako hasa kile cha "...
  18. Rural Swagga

    Mwaka Wa 20 Sijaugua Malaria

    Ni miaka ishirini imepita tokea nimepata tiba ya Malaria.Na mbu kila siku wananingata....Je kuna tatizo lolote?Nahitaji mawazo yenu Madaktari
Back
Top Bottom