Hakika nimeimiss JF ya kuanzia mwaka 2012 kurudi nyuma...Ni mtizamo wangu(my opinion)JF now days kuna members wanazingua sana..mtu anaaanzisha hata uzi wa kipuuzi na unapata airtime ya maana tu..JF ya kipindi hicho hata ku-comment mtu unawaza sana.... sembuse kuanzisha uzi.
Baba yangu ni Mchagga wa Old Moshi Kilimanjaro Mama yangu ni Mdigo wa Maramba Tanga...Walibahatika kufunga ndoa Jijini Dar es Salaam mwaka 1985...Nimezaliwa Hospitali moja maarufu ya umma hapa Dar miaka ya mwishoni mwa 80/late 80's....
Swali langu sasa ili kuanzia leo nijitambue...JE MIMI NI...
Timu yetu ya Taifa (Taifa Stars)Kesho ipate ushindi wowote ule dhidi ya Senegal,hata suluhu na kichwa cha habari hapo juu kinakwenda kutimia.
Hapa nilipo niko na Waburundi,Wazimbambwe,Waganda,Wakenya,WaSouthAfrica wenyewe bila kusahau Nigerians....Jamaa hawaongelei negative kuhusu timu zao za...
Some cities are very famous for its unique architecture, some for its skyscrapers, some for its culture and nightlife, and some are for its scenic and natural beauty. But here, we are not going to represent such cities, but instead we are going to represent some of the most dangerous cities...
Husband comes home drunk and breaks some crockery,
vomits and falls down on the floor...
Wife pulls him up and cleans everything.
Next day wen he gets up he expects her to be really angry wid him....
He prays that they shouldd not have a
fight..
He finds a note near the table...
"Honey..your...
Habari za Jioni ndugu zangu Watanganyika.
Kesho nina mpango wa ku-drive toka dar kuelekea Arusha,kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha kwa wingi ningependa kupata updates za njia ilivyo kwa sasa...Wahenga walisema heri kinga kuliko Tiba
Waheshimiwa niko maeneo ya Mwenge Petrol Station (PUMA) Imegonga Ngurumo moja mpaka ninavyoandika hapa saa hii bado ubongo haujakaa sawa....Nimezaliwa Dar, Nimekulia Dar, Nafanya kazi Dar sijawahi kusikia ngurumo ya radi kubwa kama hii ya leo
25 Nov 2013...Mwaka wa 3 JF as a verified user/member.. pamoja na vurugu zote sijawahi pigwa BAN... Invisible eeeeh piga mm BAN hata ya Cku mbili for d sake of my Birthday.
NAWAPENDA SANA SANA WANA JF
This is a precious video of a young boy with down syndrome and a dog who is determined to make friends with him. This is a really beautiful demonstration of God's unconditional love for us despite us turning him away many times.
Have a blessed long weekend mazee.
[FULL] Dog Determined To Make...
TAIFA LANGU
*Taifa ambalo mabinti zake wakimuona mzungu wanadhan ana hela
*Taifa ambalo ukiongea kingereza unaonekana umesoma sana
*Taifa ambalo ukiwa na simu nzuri we ni mjanja hata kama vocha unaweka jerojero
*Taifa ambalo waliofeli wanakuwa walimu na mapolice
*Taifa ambalo mtu kwao hawana...
mimi huwa nikianza kufikiria rasilimali tulizonazo,Madini(tanzanite,gold,almasi,rubby nk),Gesi,Mbuga yani vitu vingi sanaaa.
Wakuu huwa nalia ndani kwa ndani.
Tatizo ni nini haswa????
BARUA KWA DIAMOND PLATINUMZ na MAMA YAKE MZAZI mbeya region P.O.BOX 0759209081 MBEYA dear diamond.... sina imani we ni mzima wa afya kutokana hasa na mambo unayofanya kiukweliii katika wasanii wakali mpaka kupitiliza hapa tz wew ni mmoja wapo.. napenda sana vibonzo vyako hasa kile cha "...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.