Navyofahamu mhogo ni Zao na msimu kama maembe na mananasi nk.....Sasa kama sikosei huu ni msimu wa Mihogo na Machungwa wana darisalama wanakula mihogo na machungwa.Ni kawaida miaka yote tokea tungali wadogo
Wiki majuzi nakatiza zangu mitaa ya Salt River Cape Town Nakutana na madogo wawili wa kibongo wanataka kunitapeli na biashara yao ya Almasi feki...Nikatabasamu kimoyomoyo nikawaambia kuna ndugu yangu mmbongo anaishi mitaa ya Roodebloem Road karibu na WALMER ESTATE (Ninapojisitiri na Familia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.