Naomba kusaidiwa,
Mimi nina rafiki yangu anafanya kazi mashuleni serikalini ni mtumishi, anafanyia kazi mkoa flani, mzazi wake anaishi mkoa mwingne, na mazazi wake anaumwa ugonjwa ambao ni very serious sana, ana mdogo wake wa kike.
Kitu ambacho kinamwiia vigumu kumuhudumia baba yake, amejarib...
Mm ni mfanyakazi katika tasisi moja hapa Dar es salaam nimefanya kazi katika tasis hii miaka 2 ba miezi sita, niliahidiwa kupewa mkataba ila ilichukua takribani mwaka mzima pasipo kupewa mkataba kila napodai naapiwa nitapewa nilivyoona muda unazidi kwenda basi nikaomba nipewe salary slip ila...
Nilikuwa na mpenzi niliyempenda sana , ila juzi nilimpigia simu akadai yuko kazini akaniambia akitoka ataniambia. Baada kama masaa mawili akanipigia simu akaniambia tukutane mahali fulani muda fulani nikamjibu sawa , baada kama lisaa limoja tena akatuma text akisema bby tuonane kesho, nikajibu...
Kuna binti nampenda Sana Mimi namfaham ila yeye hanifaham vizur maana shule zetu zilikuwa Jirani ndo niliko mjulia now ni mwalimu wa shule ya msingi mwanza na Mimi niko Dar nafanya kazi company moja hapa mjini, nashindwa nianzaje hadi anielewe kwamba sipo kwa ajili ya kupotezeana muda nataka...
Jamani kuna mke wa mtu anataka niwe hawara wake ananitumia picha zake za uchi, juzi mumewe ameona text zangu ananiomba niachane na mkewe ila mkewe ananilazimisha mpaka ameamua kutumia simu ya ndugu yake ili mumewe asijue, ila mimi naogopa kula mzigo wa mtu nifanyeje ili anielewe bila kunichukia?
Jamani naomba mnisaidie yaani napenda sex sana yani hadi najionea huruma nifanyaje ili niweze kupunguza, si kwamba kila siku nafanya inaweza kuisha mwezi sijafanya ivo ila pale ninapokutana na muhusika yani hamu huwa haniishi.
Jamani naomba msaada cm yng Aina ya Techno inaonyesha ninapo kuwa na chomeka chaji inaonyesha inachaji ila haiongezeki chaji system chaji yk nimeicheki iko poa kbisa wale watalaam wa electronic naombeni msaada plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.