Namshukuru Mungu kwa kweli, tarehe kama ya leo miaka arobaini iliyopita, alizaliwa kipenzi, rafiki, dada, mdogo wangu mzuri mzuri jamani na ndugu yangu kipenzi Shunie!!
Mungu azidi kukuinua zaidi, akupe kila unalohitaji mpenzi, najua kuna kipindi unapitia mengi sana na unataka kukata tamaa...
Mungu ni mwaminifu mnoo!!!!
Tarehe na miezi ka ya leo miaka kadhaa ulopita alizaliwa binti mrembo, mpole kiasi, mwenye roho yake tulivu Shunie!!!!
Mungu azidi kukulinda mdogo wake mie, nakupenda na wewe unajua hilo.... Sina la kukulipa kwa wema wako tangu nkufahamu we mtoto!!!! Zaidi namuomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.