Habari wakuu...juisi yenye mchanganyiko wa tangawizi na kitunguu swaumu eti hapo natibu nini mwilini au napata nini kiafya??
N.B,it is a serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko kwenye mahusiano na binti mzuri sana wa sura,umbo na tabia...tatizo kubwa linalonikwaza nikuhusu "K" yake,inaharufu kali sana,sasa kama mnavyojua wakuu kwenye mahusiano "K" ndio mpango mzima....naomba ushauri kama kuna dawa anaweza kutumia ili K yake isiendelee kutoa harufu kali ,issue za...
Guys nimejalibu kupitia hii ya kupata nimekuta Gari zenye hali nzuri kimuonekano na plate number c &d ,bei ni reasonable .but sijawahi kununua kitu kupitia hii app,please aliwahi kukunua kupitia kupatana app naomba ushauri..jeh ninunue Gari kupitia kupatana app??
Nahitaji ushauri huyu binti tumekuwa na mahusiano kwa miaka minne na tayari tuna watoto wawili, tatizo kubwa huyu binti ni kibuli, kisirani mpenda mizozo.
Mimi ni injinia nina kampuni ya ujenzi, wakuu nadhani mnajua kazi ya kusimamia miradi muda mwingine unarud nyumbani umechelewana na...
Jana ilikuwa siku ya ufunguzi wa kampeni uchaguzi wa maludio wa jimbo LA kinondoni,ccm imezndua kampeni zake katika uwanja wa Biafra kinondoni,binafsi nimejalibu kufuatilia kilichokuwa kinajili haswa kwa mgombea wao bwana mtulya nini ataongea,nilichokiona kwa mtulya Jana nichakusikitika...
Nakumbuka mapema kabisa raisi pombe magufuri alisema katiba mpya sio kipaumbele chake,,na ukiangalia mtindo na aina ya uongozi wake raisi wetu umefanya hata taasisi za kidini kuwa ngumu kumkosoa tofauti na kipindi cha JK 2 ,maasikofu masheghe walikuwa wazi kabisa kumkosoa .taasisi za kidini na...
Huyu mwanamke nipo nae mwaka wa nne huu na tumefanikiwa kupata watoto wawili wa kwanza anaumri wa miaka miwili wa mwisho ana mwezi mmoja, tatizo hatuelewani kila siku kelele na keshanitamkia kuwa hawezi kuishi na mwanaume kama mimi, sasa nasita kumruhusu aondoke sababu watoto wangu bado wadogo...
Vuta picha upo kwenye hafla flani ya kiafrica anaposimama mtu nakuahidi kusaidia au kutoa msaada wakitu labda kujenga hospital ,kanisa ,msikiti ,kisima madarasa au kuchangia mchango Wa harusi basi watu hujawa na nderemo na vifijo furaha namakofi kibao nakumshangilia huyo mtoa msaada, lakini kwa...
Hivi majuzi tumesikia kupitia vyombo vya habari mbalimbali kuwa mkuu Wa mkoa Wa dar es salaam kazuia matumizi ya shisha katika mkoa wake na badae tukasikia tamko la serikali kupitia waziri mkuu kuwa nimarufuku kutumia shisha eti inamadhara makubwa kwa binadamu, je! Sigara haina madhara? Mbona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.