Haya maisha bwana.
Mwaka 2019, nilifanya interview na shirika Moja la waingereza, aisee interview ilikuwa Kali hatari, nilikuwa natoa jibu linalonijia kichwani.
Cha kushangaza baada ya wiki Moja nikaitwa kazini.
Je, ushawai kufanya interview na ukaona umeifanya vibaya lakini ukaitwa kazini je...
Hello wakuu.
Hii naomba kujuzwa Kwa anayefahamu in-details hii organization inayoitwa IPA, anipe information zake.
Maana ni organization ambayo inatangaza nafasi nyingi mno za ajira karibu Dunia nzima.
Kuna kazi niliiomba naona kimya. Sijui ni serious organization au ni hizi organization za...
Wakuu anaitajika mwalimu mmoja wa primary awe wa kiume. Please tunataka wa kiume maana walimu wa kike wapo wa kutosha.
Awe na experience, shule ipo mkoa wa Simyu.
Karibu pm, weka namba ya simu utapigiwa, as soon as possible.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.