Poleni sana ndugu, nikutie moyo dawa za Cancer zipo na watu hua wanapona. Jaribu kuulizia kwa mzee mmoja anaitwa Kokoto yupo wilaya ya Mwanga Kilimanjaro. Lkn pia kuna mama mmoja yupo Arusha nae hutoa dawa za Cancer na ameponesha wengi. Msikubali apigwe chemo wala kufanyiwa operation, hapo ndo...
Habari Tanzania,
Ninaandika kuwafikia Airtel Tanzania technical team. Kumekuwa na tatizo la kimtandao kwa muda sasa. Simu sikipigwa zinakatika tu, (calls drop). Tunaomba mtutatulie ttzo hilo ili tuendelee kufurahia huduma zenu.
Ahsanteni
TAHADHARI KWENU NDUGU ZANGUNI MNAOKATWA NA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KWENYE MISHAHARA YENU
KUNA SUALA INAWEZEKANA HAMJALIGUNDUA KAMA HAMJACHUNGUZA KWENYE SALARY SLIPS ZENU ZA MWEZI MAY NA MWEZI JUNI 2021
Kuna wale ambao deni la Mwezi Juni kwenye salary slip limekuja kama lilivyo kwenye...
Mkuu ulifanikiwa kuhama kwa baba Mkubwa..? Kitu unapaswa kushukuru Mungu ni kua na Afya njema. Hayo mengine yanakuja tu ukipambana. Shukuru Mungu kwa zawadi ya maisha, badili mitazamo na misimamo yako kaa pekeyako au tafuta mtu (mentor) akuongoze katika kujua nn unapaswa kufanya. Wakati mwingine...
Arusha tangu juzi umeme unakatika mchana mpk usiku saa saba ndo unarudi. Hakuna taarifa yoyote tunayopewa. Vitu vinaharibika kwenye ma friji na simu hazipatikani. Ukizingatia wengine biashara zetu zinategemea uwepo wa umeme..
Kaka ndugu zako watakukubali ukiwa kwenye status nzuri ya maisha. Haya maisha sometimes hayapo fair. Ww tafuta pesa ipo siku watakutafuta wao. Haupo pekeako unaepitia haya kwahio usichukue mrengo wa kuliona kama tatizo kubwa ama kizingiti. Mimi najua watu wengi ambao wametafutwa na Baba zao...
Duh humu ndani kila mtu ana AC kwake, binafsi nimeanza kutumia AC nyumbani hivi karibuni. Kwakweli ukifunga AC unahitaji ubavu wa kumudu gharama za Units maana zinalika sana. Mara moja moja joto likituzidi hua tunawasha walau kwa masaa 6 mpk 8. Na tukipata wageni tunafunika macho tunaweza...
Basi tu huyo wa kwako ni pepo limemuingia, maana hata kama ni tamaa zipo options nyingi tu angeweza kutumia na kuepusha majanga ya mimba. Mfano hata kama anatembea na hao hg anashindwa nn kutumia kinga.? Hata kama hatumii kinga anashindwa nn kutumia njia zingine zzte za kuzuia mimba..?! Maanake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.