Kwa maoni yangu kuna utata unaotokana na kutoholewa kwa neno virus kuwa virusi. Ile "vi" katika virusi sio yakuashiria wingi ila ni sehemu ya jina lile. Kipala asema kweli kuwa hakuna neno kam "Kirusi". Shida kuu nikupata wingi wa virusi moja ambapo naonelea iwe "Mavirusi mengi".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.