Nenda kariakoo big bonne ulizia agent wa kuprocess visa za thailand
Nimeona kuna ubalozi wa Thailand nchini Kenya japo namba zilizopo kwenye mtandao hazipatikani hivyo nimeshindwa kupata taarifa.
Aidha nimepiga pia namba iliyopo Thailand na IVR imekuwa ikinitaka nisubiri lakini kwa muda...
Ndugu wanajamvi
Shirika letu limefunga virago hapa Tanzania. Naomba mtu yoyote mwenye government circular ya culculate rates za mtu kulipwa kwa ajili ya usafiri wa kurudi alikokuwa kabla ya ajira.
Ndugu wanajamvi
mimi nemeachishwa kazi baada ya kamuni yetu kufunga virago hapa Tanzania. naomba mtu anisaidie jinsi ya ku calculate fedha za usafiri kurudi mahali nilipokuwa kabla ya ajira. je kuna government circular ya jinsi ya ku calculate fedha kwa ajili ya kusafirisha vifaa vyangu
kama bado ni mawaziri na aliyewateua anaona bado wanafaa kuongoza wizara wakiwa vitandani. itakuwa vigumu kwao kuwa na uzalendo wa kuachia ngazi za ubunge kwa vile mkuu bado anawahitaji
Unajua hata wana CCM sasa wanafeel ile nguvu ya umma. Damu ni nzito kuliko maji lakini ukweli wa mambo unaifanya damu kuwa hata nyepsi kuliko maji. Wanaccm bado wanakipenda chama chao, lakini sera za CHADEMA zinawafanya wajiuluze mara mbili mbili na ukweli ni kwamba hawawezi kupingana nazo maana...
ndugu yangu pole na matatizo ya ajira, hili ni janga la kitaifa. Ila nakushauri upate ushauri wa kijasiriamali kwanza kabla ya kuanza kazi ya internet. Unajua siku hizi makampuni ya simu yanatoa internet services kwa bei ya chini sasa, na yanacompete thus bei itazidi kuwa chini. kwa hiyo unaweza...
Salum A.Salum anaweza kuwa mtu mzuri but agenda ya JK inajikita zaidi kwenye udini. We need to be very careful, otherwise kuongozwa na watu wenye nia ya dhati kujenga matabaka ya kidini for 20 yrs itatuletea shida sana Tanzania. We have see ourself jinsi agenda za kikabila zinavyoongezeka wakati...
Naamini vijana wanataka kundelea kwenye ulingo wa siasa kwa miongo mingi ijayo na watajitahidi ku deliver, kama alivyofanya magufuli, otherwise watakaa only one term. Tusiona tutakuwa kifungoni miaka mitano. Cha maana ni kuimarisha vyama pinzani kama Cahdema, ili wakiporonga busi chama kingine...
kidogo Jk kakonga nyoyo za watu kwa upande wa magufuli na kuchagua vijana na kuachana na wazee. nampongeza kawaondoa watu kama Msola ambao hawana jipya zaidi ya kuendekeza kusujudiwa. Naamini kuna mtu amemtonya JK kuhusu mwenendo wa Msola.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.