Mnazungumzi Agakhan ya wapi? Nyie badala ya kutaka huduma nzuri kwenye hospitali za serikali mnapiga kelele kwenye mali za wahindi? Ibane serikali yako iimarishe huduma ktk hospitali zake mwende huko.:D
Hii inasikitisha saana. Ni vitendo visivyo vumilika. Hakika mambo haya yanatia aibu. Katika nchi iliyo huru na ya kidemokrasia. Ifike mahali tukubali mabadiliko kwani hata historia inaonyesha wakati unapofika si rahisi kuyazuia. Binafsi nalaani sana jambo hili. Ila tukumbuke wametuacha kimwili...
Nini maana ya kuwa nchi huru? Kwanini wamarekani watuchagulie rais? Kenya ni taifa huru. Wqi ndio wanajua nani anawafaa katika kuongoza taif lao. Acha mawawazo ya kitumwa
Hii nafikiri MH alikua anajisafisha. kwa akili yangu ndogo nahisi Mh alikua na totoz ambayo ilimtoka na ikamlazimisha kuto kuzingatia itifaki na kuamua ku clear mambo kabla wadaku hawajainasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.