habari zenu wakuu! Mimi nipo zanzibar nataka kuanzisha biashara ya viatu vya mtumba tena vile classic vya kike ila sijajua wapi ntapata mabero ya viatu . Wenye uzoefu tafadhali tujulishane.
Habari za majukum u wadau, katika pita pita zangu mitaani nikagundua watu wa ili eneo niliyopo wanahitaj kubwa sana wa cd za bongo movie na zilizotafsiliwa so nataka nifungue library ili iweze kusukuma siku
Ila sijui wap pa kuanzia maana nahitaj wasambazaj wa cd kwa jumla maana me nipo...
Habari zenu wakuu, ningependa kuwashirikisha huduma ninazotoa ni pamoja na ;
Tshirts
Uniforms
Calendars
Business Cards
Flyers
Brochures
wheelcovers
Delivery note
Invoice book
receipt book.
na mengine mengi tunatengeneza vitabu vya NCR na kawaida na pia vitabu vyenye wino wa rangi moja n...
Habari zenu wakuu, ningependa kuwashirikisha huduma ninazotoa ni pamoja na ;
Tshirts
Uniforms
Calendars
Business Cards
Flyers
Brochures
wheelcovers
Delivery note
Invoice book
receipt book.
na mengine mengi tunatengeneza vitabu vya NCR na kawaida na pia vitabu vyenye wino wa rangi moja n...
Habari zenu wakuu, ningependa kuwashirikisha huduma ninazotoa ni pamoja na ;
Business Cards
Flyers
Brochures
wheelcovers
Delivery note
Invoice book
receipt book.
na mengine mengi tunatengeneza vitabu vya NCR na kawaida na pia vitabu vyenye wino wa rangi moja n hata rangi mbili.
kwa maelezo...
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya shekhilango na yaan nyuma ya ubungo plaza na ubungo terminal. budget yang ni elfu hamsin na kulipa kwa miez mitatu mitatu.
Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya shekhilango na yaan nyuma ya ubungo plaza na ubungo terminal. budget yang ni elfu hamsin na kulipa kwa miez mitatu mitatu.
ZINGATIA HAYA UNAPOTAKA KUSAJILI KAMPUNI
1. Jina.
Unapotafuta jina jitahidi jina liwe linatamkika kirahisi ili isikusumbue katika marketing lakini kikubwa ni maana ya jina. Kuna maneno mengine ni matusi kwa lugha nyingine, hivyo jitahidi sana kufanya utafiti wa kina wa jina hilo.
2. Mtaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.