Search results

  1. O

    Msaada wa ku Reboot hii flash

    Tumia google chrome ili uweze kutumia google translate. Inatranslate vizuri kwenda kwenye kiingereza.
  2. O

    Msaada wa ku Reboot hii flash

    Siyo commercial software. Zinapatikana bure kabisa
  3. O

    Nani aliyemuumba Mungu?

    Na ili kuelewa dhana hii, hebu tutafakari kidogo swali hili. Kati ya Mzazi na Mtoto, ni yupi wa kwanza kuwepo. Bila shaka, wengi tutasema ni Mzazi. Mimi nina wazo tofauti. Hakuna mzazi wa kibaolojia(na hata kaa atokee mzazi wa kibaolojia) bila kuzaa kwanza mtoto. Kwa hiyo hiyo, mzazi yupo kwa...
  4. O

    Nani aliyemuumba Mungu?

    Uwepo (existence) ndio chanzo pekee cha Mungu. Hakuna namna unaweza kutambua au kuelezea uwepo wa Mungu kama haupo (does not exist). God will continue not to exist until you exist.
  5. O

    Window gani bora zaidi?

    Ni rahisi sana. Ni settings tu. Nenda kwenye properties ya network unayotumia. Wezesha "metered connection". Yaani set iwe " on". Ni hivyo tu mkuu wangu. Fanya hivi kwa kila connection mpya ya internet.
  6. O

    Window gani bora zaidi?

    Inawezekana kuzuia. Nenda kwenye jina la wireless network unayotumia. Nenda kwenye properties, halafu, nenda kwenye metered connection. Weka "on". Kwisha habari yake.
  7. O

    Msaada wa ku Reboot hii flash

    Jaribu mkuu. Tembelea hapa pia Flash Drive Repair utapata pia tools za kuflash usb flash. Usbdev.ru mbali na kukupa flash tools, inakuelekeza jinsi ya kuzitumia.
  8. O

    Msaada wa ku Reboot hii flash

    Usbdev.ru ipo kwa lugha ya Kirusi. Hivyo browse kwa google chrome ili upate option ya kutraslate to English.
  9. O

    Msaada wa ku Reboot hii flash

    Download hii software chipgenius ChipGenius v4.19.0319. Kisha ingia hapa usbdev.ru ujifunze namna ya kureformat hiyo flash yako. Chipgenius inakupa vendor name ya flash yako na taarifa nyingine ambazo zitakusaidia kupata flash tool sahihi. Baadhi ya vendor names ni Alcol, Phison, Chipsbank n.k...
  10. O

    Simu yangu haisomi simcards

    Restore factory settings. Hakikisha data zako za muhimu umezihifadhi kwenye memory card au sehemu nyingine au umefanya backup ya data kwenye simu. Ninaamini njia hii itatatua tatizo.
  11. O

    Soma vitabu hivi uijue historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, TANU na uhuru wa Tanganyika

    Katika harakati za uhuru, Nyerere alikuja baadae kidogo. Yeye zaidi aliunga juhudi za watu wa kanda ya Ziwa. Harakati kali za kudai uhuru zilichagizwa na kuchachamaa kwa kasi zaidi katika eneo la kanda ya ziwa. Soma vizuri historia.
  12. O

    Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

    Historia hii ina ukweli haswa pale inaponipa jibu ni kwa nini maeneo ya Moshi Vijijini kuna tarafa inaitwa Hai Mashariki wakati ni wilaya tofauti kabisa.
  13. O

    Historia kuhusu asili, tamaduni na aina za Wachaga

    Aisee. Nimefanya kazi kwa muda hapo Ng'uni Sec. Enzi hizo ninanunua maziwa fresh kwa vikundi vya akina mama sh 500 tu kwa lita. Si siku nyingi hata hivyo! Umeme na majumba mazuri hadi kwenye mpaka wa mlima Kilimanjaro. Halafu hakuna anayeishi.
  14. O

    Je, binadamu ni mwili au roho?

    Hakuna kitu kama roho. Hebu tafakari mfano huu. Gari linatembea kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Kuna wakati kutokana na hitilafu, linashindwa kufanya kazi milele. Tunaweza kusema limekufa. Je, gari nalo lina nafsi/roho? Turudi kwa binadamu. Kwa nini ninasema hakuna kitu roho? Unaposema...
  15. O

    Natafuta nafasi ya kufundisha vyuo vya ualimu ngazi ya certificate and diploma

    Kwa vyuo vya ualimu vya serikali (labda na private) kwa sasa wanaajiri watu waliosoma Bed (science, arts). Yaani wahitimu ambao kozi za education ni core. Hata hivyo, kwa elimu yako, wekeza kwenye kufundisha vyuo vikuu. Tafuta kazi private na public universities. Kubwa zaidi, usisubiri...
  16. O

    Unawakumbuka nguli hawa wa soka?

    Hawa wa miaka ya hivi karibuni
  17. O

    Thread maalum ya kuweka Links za michezo za kuangalia Online hususani mpira

    Unaweza kutazama hapa Epl na Uefa high definition https://www.eplsite.uk/stream5.html Hebu niambieni ni mtandao gani unastream hapa vizuri bila kukwama. Ninatumia voda 4g lakini buffering za kutosha hadi inakera.
  18. O

    Ku repair flash

    Ikishindikana, tumia software kama easeus data recovery
  19. O

    Ku repair flash

    Hebu jaribu hatua hizi https://www.tomshardware.com/news/format-hard-drive-command-prompt,37632.html za diskpart
  20. O

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hata kwenye mechi ya Man City na Msn U kulikuwa na tumaini kama hili. Ila City walivuka kiunzi. Muhimu ni kusubiri dk 90.
Back
Top Bottom