Mi niwaambieni kitu....kama.mnaweza hebu tupeni ahadi za lema vs utekelezaji 2010-2015... mi naamini wana arusha mtakuwa.na nafasi.nzuri sana ya kujadili
Hivi bongo zetu zinakuwa zimefunikwa na ukawa........ Kagame ni rais?? Hivi rais gani anapokelewa duniani bila gwaride?.miaka yote hii naona viongozi wakubwa wa nchi wanapokelewa kwa gwaride.. Kwa pk kupokelewa hivyo kitu cha kawaida sana ... Ben wakati mwingine ubongo wako usiufinye
Hivi bongo zetu zinakuwa zimefunikwa na ukawa........ Kagame ni rais?? Hivi rais gani anapokelewa duniani bila gwaride?.miaka yote hii naona viongozi wakubwa wa nchi wanapokelewa kwa gwaride.. Kwa pk kupokelewa hivyo kitu cha kawaida sana ... Ben wakati mwingine ubongo wako usiufinye
hawa wanapaswa kupokelewa ufipa na mbowe au ukawa.... Mana ni wafuasi wa chadema wanafadhiliwa na chadema .. Na huwa kuna gari usiku linawabeba sehemu moja kwenda nyingine..alafu wanakuja sema wanatembea kwa mguu nyambafu waongo ninyi... Wanapita njia gani au wanapita usiku?.. Mana wakija ibuka...
mimi nilikuwa ccm lakini pumbafu zao hawa washenzi sana sana .. ela wamekula alafu wanaongea ushenzi tu bungeni..hawa wabunge wa ccn washenzi. tu.. madawa hakuna mahospital wao wanatete ushenzi
Kinyume cha ujumbe huu ni futa kabisa ndoto za ukawa na chadema yao... Utaweza wapi mbowe na vilaza wako kudelete ccm. Msahau kabisa ccm ya jenga nchi ccm ndio tegemeo la wanyonge wa nchi hii
hongera kinana na Nape.
Mbowe unapita angani na chopaaaa wenzako wanapita nchi kavu mtaa kwa mtaa...
Kwa mtazamo wangu kwenye kundi la ukawa hakuna kiongozi ambaye anakubalika na anamvuto kwa wananchi kuwa rais. Tafuteni mtu anae kubalika, ukweli mimi ni ccm ila kwa mapigo haya kuna jambo lazima watz tuwefanye. Angalia hapa bandari watu wamepiga pesa, tpdc wamepiga pesa,nida wamepiga...
Kati ya watu ambao tuliwaamini katika nchi hii na waziri makini ni dr. Mwakyembe. Kumbe wapi nae fisadi tu. Kaimu mkurugenzi wa bandari bw. Kipande alimweka yeye kumbe kwa faida yake,leo Mwakyembe na wenzake wanauza bandari kwa mkataba wa hovyo.
Moja ya masharti ya mkataba mwekezaji huyo...
maandamanoo au mbwembwe tu kujitafutia umaarufu...chadema bwana kwelii kimekufaaa mana alikuwa na wanawake mamantilie sijui watano au kumii wale....... hiki ndo chadema sasa namuelewa NAPE kuwa wanatafuta picha za kukamatwa na polisi watume ulaya kupata pesa
anza mjinjaa mamako mzazi na babako alafu watoto wako na mkee...nyambafuu wewe hata msemeje nchi haitawaliki inatawalika ...watanzania sio misukulee km chadema misukule ya mbowe ndiyo mbowe ndio mbowe.... watz hatutakuja chinjanaa milele na milele mwehuu wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.