Hauwezi kufuga kuku 10,000 tena wa kienyeji Kwa kuwatafutia chalupa kwenye madampo na migahawani. Biashara yoyote huwa haina shortcut Kwa urahisi hivyo. Ukitaka kufuga hivyo lazima ufikiri ni names gani hao mifugo watakula
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kati ya maneno ambayo huwa sielewi maana zake halisi na sipendi kuyatumia ni "nirehemu" au "akurehemu"
[emoji1][emoji1][emoji1]
Pia kuna section moja alisema alikutana na mdada mmoja mzuri sana bahati mbaya hakuchukua namba. Yule dada akaj kurudi pale akamuuluzua Insiderma kwa muhudumu na muhudumu akaja akamwambia Insiderman ambaye aliamua kumuachia namba muhudumu ili aje ampatie huyo dada ( Sikumbuki kama ni kidimbwi...
Haya maisha bwana, kuna miaka kadhaa nyuma nilikuwa ninaweza kusahau hata Tsh 60,000 kwenye suruali chafu, ila siku hizi sasa, sikumbuki ni siku gani nilisahau hata buku kwenye nguo ya kuvaa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.