Baraka Mpenja, Mwamba wa Umalila Fahari ya Itete, Huyu ni Simba lialia na kuna kipindi alisimamishwa kutangaza mpira na Azam baada ya kutangaza goli la Kagera Sugar walilowafunga Simba kinyonge kama vile hajafurahishwa watu walilalamika kwamba alionyesha mapenzi ya dhahiri rejea goli hilo siku...
Kwa game ya Liver weka mzigo mkubwa over 1.5 Man City au nenda specials Weka over FT 1.5 and Man City kushinda
Ni game yenye goli zaidi ya Tatu bila presha Over 2.5
Kaka Kama mtaweza mtuwekee kwa pamoja mtiririko wa previous updates katika Update za siku hiyo (Sasa naona mnatuwekea ya Jana yake) itatusaidua hata kwa baadae kufanya marejeo kwa urahisi. Ni wazo tu Kiongozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.