A Punjabi lawyer working in UK wrote to his wife in India .
Dear Sunita Darling,
I can't send you my salary this month because the global market crisis has affected my Company's performance, so I am sending 100 kisses.
You are my sweetheart, please understand and adjust...
Nakumbuka wakati antangaza baraza lake la kwanza alisema uwaziri hausomewi-Namshangaa anakula matapishi yake mwenyewe eti kwa kumteua msomi kuongoza wizara ambayo hata malaika ukimpa kwa mfumo huu hawezi kuperform.
Nakuunga mkono,Kumbuka kuna watu wakati Dr.Slaa ametangaza nia walisema bado mchango wake unahitajika bungeni.Naamini Dr.anaweza kuwatumikia watanzania katika namna mbali mbali na si dhambi hata kidogo kuwa mbunge na kufanya mengine yote ambayo tunaamini pia anaweza fanya.
Kina, kuwa muwazi kwa kujibu maswali yafuatayo:
Dini ipi hiyo inayokwapua rasilimali na nchi? na ni watu wa dini gani ambao wananufaika na "katiba ya sasa"?Ni watu wa dini ipi ambao wapo mstari wa mbele kupigania upatikanaji wa katiba mpya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.