Rais Samia anadai na hii namsikia mara ya pili au ya tatu, ati uchaguzi ukiisha Marekani panakuwa hakuna mikutano, isipokuwa ya kudai umeme ukikatika.
Wiki chache tu zilizopita Trump alikuwa na mkutano mkubwa wenye malengo ya 2024. Huyu Mzanzibari hajui siasa za dunia.
Askofu Niwemugizi alipotumia uhuru wake wa kutoa maoni, kufumba na kufumbua, makachero wakamvaa na kumpora pasi ya kusafiria. Wakauliza, "Wapi kaburi la bibi ya babu yako?"
Sasa kabla Baba Askofu hajaanza ibada ya mazishi, mrudishieni kwanza pasi yake ya kusafiria.
Soma hapa:
1) Askofu...
Nimeambatanisha screenshot 2. Moja ni tovuti ya chadema na ya pili ni tovuti ya republicans wa Marekani. Japo siungi mkono GOP ninataka CHADEMA kuona aibu hii ya kuwa nyuma sana kutoa mrejesho kwa watu wenye mapenzi na chama.
Kuna tabia imezuka kwa muda sasa, ikifika saa moja au mbili usiku wanakata umeme. Hakuna mvua au radi (ambavyo huwa visingizio vyao) au maelezo yoyote yanayotolewa na kisha baada ya lisaa hivi ndipo wanarudisha. Wiki imetokea hivi kila siku. Wakazi wa huku tunajiuliza kuna nini?
Zamani za...
MCB, benki ya kanisa langu pendwa Katoliki, lakini kitendo mnachonifanyia sasa ni cha kihuni kabisa. Mlisema nikiwa mahali ambapo hakuna tawi la Mkombozi naweza kuweka hela kupitia TPB.
Pesa imewekwa Alhamisi, haikuonekana kwenye akaunti. Ijumaa nikafunga safari toka Bagamoyo hadi St Joseph...
Tunapoelekea uchaguzi wa serikali za mitaa nimeona kwenye picha katibu tawala (DSM) akisimamia zoezi za kuapisha wasimamizi wa kila wilaya. Je, wataripoti kwake? Kama ndiyo, hukumu ya ile kesi iliishia wapi?
Nilijawa furaha kumsikia Mzee Lukuvi akisema watanzania watalipa kodi ya nyumba kwa mwezi na sio mwaka au miezi sita kama ilivyo sasa. Nimejenga nyumba ya kuishi lakini sehemu ya biashara nimekodi na nikilipa mtaji wote unakwenda. Ahadi hii ya Lukuvi itatimia lini na sisi tulipe kama London au...
Nilijichanganya maeneo ya Kigogo kufuata ile nyama hatari maeneo ya Sambusa, nakuta wana promosheni castle kubwa bia 3 sh 5,000/- tu. Kuangalia kumbe zime-expire wiki tatu kabla.
Nikasafiri Ifakara, nikaagiza castle lager kubwa; kuonja ladha haieleweki utadhani kahawa iliyoungua; kuangalia...
To All Publishers, Writers and Illustrators
RE: INVITATION TO THE CHILDREN’S BOOK PROJECT FOR TANZANIA (CBP) CONFERENCE
The Board of the Children’s Book Project wishes to invite you to the conference organized by the Children’s Book Project scheduled to take place on 17th – 18th March, 2016...
1. Mabasi ya mwendokasi (BRT), yalizinduliwa siku chache kabla ya uchaguzi 2015. WAPI? Wanadai kuhangaika na nauli wakati ukweli ni kuwa vituo havijakamilika kujengwa, mfano Morocco na Ubungo bado ni mapagala. Mikoa mingine mnaonaje, maana huko nako kunahitaji usafiri bora.
2. Tutawajali...
Ninaishi mtaa wa Eagle, mjini Bagamoyo.
Tarehe 11 Agosti 2015, majira ya saa kumi nilikuwa katika harakati zangu maeneo ya Buguruni kisha nikawa na uhitaji wa fedha. Kwa vile benki ninapoweka akiba yangu ni mshirika wa Umoja Switch, nilikwenda kwenye tawi la Akiba Commercial Bank ili nitoe pesa...
"kuanzia leo watu wote lazima wafuate sheria hukuakisisitiza kuhusu jambo hilo amesema 'mambo ya kutofuata sheria, mambo ya kudhani kuna wengine wako juu ya sheria yamepitwa na wakati kuanzia leo" Kova
utani: Yaliyomkuta mlokole porini
Mlokole mmoja alikuwa anafukuzwa na simba porini. Alipojua kuwa hataweza kumwacha simba akamwomba Mungu ili simba yule naye aokoke. Aliamini simba mlokole hatoweza kumla.
"Baba naomba simba huyu aokoke!"
Basi akadondoka chini akasikilizia. Kwa kuwa alikuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.