Jana katika kampeni za Ukawa huko Shinyanga Tundu Lisu alisema tumchague Lowasa kwa kuwa ni mtu mvumilivu maana ametuhumiwa sana kuhusu ufisadi na kukejeliwa vya kutosha lakini hajawahi kujibu amekaa kimya tu.
Hivi kiongozi mkubwa anapotuhumiwa kila kona ya nchi hasa kuhusu ufisadi na amekaa...
Nani kuanza vizuri kwenye mechi za kwanza?
TUESDAY, SEPTEMBER 17, 2013
Time
Home
Away
Stage
Tickets
Venue
18:45 GMT
Manchester United
v
Bayer Leverkusen
Group A
Entradas
Old Trafford
18:45 GMT
Real Sociedad
v
Shakhtar Donetsk
Group A
Entradas
Anoeta
18:45 GMT
FC Copenhagen
v...
Wakuu nimepata tatizo kwenye facebook acount yangu, toka jana nashindwa kulog in, kila nikiingiza user name na password inastuck hapohapo lakini baada ya kuhangaika kwa sasa naweza kulog in ila nina access kwenye timeline yangu tu siwezi kuaccess chochote kwenye homepage wala kuaccess groups...
Kwa sasa TTCL wameshusha bei ya bundle za internet
TARIFF AND PACKAGES: MPYA
Package Type
Package Volume
Price Per package
In - Bundle
Out of Bundle
Activation Code
Daily (24 hours)
50MB...
Chanjo hii itatolewa kwa Mabinti wa kuanzia umri wa miaka tisa hadi 12, ambao hawajaanza kufanya ngono ndio watakaopewa chanjo hiyo, inayotarajiwa kupunguza tatizo hilo kwa asilimia 75.
Kwa habari zaidi soma hapa Chanjo saratani ya kizazi kuanza kutolewa nchini - Kitaifa - mwananchi.co.tz
MY...
Inasikitisha sana kuona Secretariat ya CCM kuendelea kutumia fedha za walala hoi kuzunguka nchi nzima kutangaza propaganda/mikakati na mipango ya chama isiyotekelezwa miaka nenda rudi. Kwa sasa watanzania hawahitaji kuambiwa nini kitafanywa, Watanzania wanahitaji kuona nini kimefanywa hivyo...
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikijaribu kuwafuatilia viongozi hawa wa CCM, Yusuph Makamba (Katibu) na Tambwe Hiza wa Kitengo cha Umbea. Nilichogundua ni kwamba wote wanafanana sana kwa kiasi kikubwa kwani wote ni:-
1. Wote ni wanafiki wakubwa
2. Wote hawana point ni waropokaji tu a.k.a Hamnazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.