Nyie Rwanda mmekaribishwa juzi tu kwenye jumuiya ya Africa mashariki mnajifanya mtatutenga .pyuuu embu tulia uko ujenge nchi yako. Tunaakili timamu hatufanyiwi maamuzi na MTU yeyote yule
Hata kama ni kudeki, tunadeki kwa raha zetu hatugombwi. Tumempenda wenyewe. Kwani mlivyomdekia Obama barabara apite mlinyweshwa viroba. Tulieni nyieeee tufanye yetu
Wewe kikwajuni one, usilazimishe mawazo yako yawe ya watu wote. That's wat we do. Hutaki fwataaaaaaa... , kila mtu anaangalia kile kinachomvutia machoni pake.
Huyo magufuli anatudanganya tu elimu bure wakati gesi wamewapa wachina kwa miaka saba. Bora lowassa aingie madarakani avunje huo mkataba. Watoto wetu wasome bureee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.