Habari,lengo ni kununua gari.
Nauza bajaji yangu aina ya TVS king. Haina tatizo lolote.
Ipo Dar Chamazi.
Kwa mawasiliano njoo PM
Bei milioni sita.(6,000,000)
Wakuu habari,
Nilileta uzi hapa kuomba ushauri wa nini nifanye pindi nitakaporeje tz.Nashukuru mlinishauri shauri mbalimbali.
Ila katka shauri zote nimeona nichukue hizi mbili kati ya Bajaji au Uber halafu niendeshe mwenyewe
So ni biashara ipi itanifaa ili niweze kumudu maisha ya hapo tz...
Habar za miaka ndugu zangu,
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu...
Ni takriban miaka mitatu(3) toka nilipofanya maamuzi magumu kiupande wangu kwa kuamua kuiacha nchi yangu mama Tanzania na kuja huku South Africa kutafuta maisha.
Hakiuwa kazi rahisi aisee ila kutokana na ugumu wa...
Habar,
Kama kichwa cha habari hapo juu.
Sofa la watu wawili 70,000.
Kitanda 5×6 120,000.
Subwoofer seapiano old mord 100,000.
Nipo Tabat Dar.
Note:picha yakitanda nitaiweka baadae nikurud home.0629981738
Habari,
Nina mbao 12(4 by 2) za mti wa mtiki ambazo nilipewa na bosi wangu ambae huwa ana export mbao hizi.
Zina urefu wa futi 8 .
Bei ubao mmoja 25000.
Karibuni.
Habari wakuu ,
Juzi kwenye tamasha la xxl Dodoma nilisikia serikali inampango wa kusomesha watz 820 ktk fani mbalimbali.
Nilipoulizia mchakato ukoje nikaambiwa tayari tangazo limesha toka na mwisho wakutuma maombi ilikuwa ni 30 march.Pia waliochaguliwa watapigiwa cm Leo tarehe 10.April.
Sasa...
Habari wakuu,
Naomba msaada waharaka, ninampenzi wangu ambae kwamara ya kwanza nimesex nae ilikuwa ni juzi ijumaa,jumamosi akaanza kuhisi muwasho sehemu za siri haswa anapokwenda haja ndogo.
Jana na Leo anadai anahisi maumivu yaani kama kuna michubuko.
Naomba msaada atumie Dawa gani ili arudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.