Raia wa Nigeria, Ramon Abbas, maarufu kwa jina la Hashpuppi amehukumiwa kifungo cha miaka 11 jela huko Marekani
Hashpuppi alikuwa anatuhumiwa kufanya utapeli unaofikia jumla ya dola millioni 24 za Marekani kwa njia ya mtandao
Hashpuppi anatajwa kuwa mmoja wa matapeli wakubwa zaidi wa mtandaoni...
Mabingwa wa soka wa Tanzania Bara, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) usiku huu imetangaza kumsainisha mkataba mpya Kocha wao Nasredeen Nabi
Prof Nabi amesaini mkataba wa miaka miwili utakaomuweka Yanga mpaka mwaka 2024
Nabi kusaini mkataba huo mpya anamaliza uvumi uliokuwa unaenea kuwa...
Ivana Trump aliyekuwa mke wa Donald Trump amefariki dunia nyumbani kwake huko New York City
Ivana alikuwa ni mke wa kwanza wa Donald Trump, amefariki akiwa na umri wa miaka 73
Marehemu alizaa watoto watatu na Donald Trump, watoto hao ni Donald Jr, Ivanka na Eric
Taarifa za kifo chake...
Hiyo sababu kubwa unayoizungumzia, naomba unionyeshe link / chanzo cha habari kilichosema kuwa Boris kajiuzulu kwa sababu hiyo unayoisema
Hata TV za UK zilizosema sababu ni hiyo, nitajie moja wapo
Au
Asante
Unajua kuwa Boris alikuwa anapigiwa ya kura ya kutokuwa na imani naye iliyokuwa inawasilishwa na wabunge wa chama chake? unajua sababu ilikuwa ni nini?
Jana tuu alipogoma kujiuzulu, kuna barua iliwasilishwa wampigie kura tena ambayo hata kwa uchawi asingetoboa
Machache: Kumteua mtu aliyekuwa na scandal ya mapenzi, alikataa kuwa hakuwa anajua, alipobanwa akakubali alikuwa anajua jambo hilo
Wakati nchi nzima ipo kwenye lockdown na restrictions kibao {huruhusiwi hata kumtembelea mgonjwa hospital} yeye na washikaji zake wakawa wanakutana wanafanya party...
Boris Johnson aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza ametangaza rasmi kujiuzulu
Bwana Johnson amesema alijaribu kuendelea kuwa madarakani na inamuuma kuona hataweza kumalizia mipango yake aliyojiwekea.
Boris Johnson amesema kuwa inamuuma kupoteza kazi bora kabisa katika Dunia
Boris Johnson...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.