Wakuu, heri ya mwaka mpya
Nipo ktk kutafuta gari ndogo ya kutembelea. luxury but fuel efficient na iliyo ngumu. Baada ya kusearch kwa muda na kupitia review ya gari mbalimbali kama mark II grande, brevis, progress, na corolla new model, nimekuja kuvutiwa na hii TOYOTA CAMRY kwa soecification...
Wakuu nimekuwa nikisoma kuwa engine za D4 si nzuri katika mazingira yetu. Sasa nimeona kuna gari zina D4 vtti. Naomba kujua kama hizi engine ni tofauti na D4
Asanteni
Naomba msaada wenu wakuu. Nimezishotilist hizi gari tatu ili ninunue mojawapo.
Vigezo
Uimara kuhimili safari za vijijini kuwaona wazee
Confortability
Upatikanaji wa spea
Uchunguzi nilioufanya unaonesha kuwa kodi ya prado na grand escudo ni sawa ila ya kluger ipo chini kidogo. CIF ya grand...
Nimeweka leo hela kwenye account ya CRDB kwa lengo la kuitransfer kwa mtu mwingine. Cha ajabu hiyo hela inaonekana kwenye available balance, actual balance ni 0. As a result kila nilitaka kufanya transaction inashindikana. Nimewapigia customer care wako busy, 3 hours now. Tatizo laweza kuwa nini...
Sina uhakika lakini haya ni baadhi ya maneno
Wazazi, wazazi nakonda na...................
Mnanilazimisha kuolewa na mimi bado ni mdogo...
miaka kumi na..............
Chorus
Samahani, samahani samahani baba na mama.......
...................
Karibuni
Nimetumiwa parcel 3, kati ya hizo moja bei ya manunuzi iliandikwa $15 badala ya $150. Zile mbili bei ilikuwa sahihi na nimekadiriwa kodi. Eti hiyo moja wanasema tumecheat kwa hiyo nilipe ushuru $50 badala ya $10. Nimewapa evidence zote za manunuzi kuonesha bei ya parcel ni $150 na hivyo...
Nifanyeje ili niweze kuwablock kabisa hawa jamaa maana wamekuwa kero, kero, kero. Kosa nililofanya ni kuingia kwenye website yako na kuwapa email yangu tena ya kazini. Sasa imekuwa sheeda, nikimblock huyu napata email to mwingine, yaani!
Naombeni nisipate email za hawa jamaa
Wakuu, niwe brief ili nanyi muwe brief na hatimaye nielewe, Ni njia gani salama ambayo supplier anitumie vitu vyangu nikiwa mkoa tofauti na Dar Es Salaam?
Kuna njia nyingi suppliers wanazipendekeza, Kwa mfano,
1. DHL - Hii ni salama na inapatikana mikoani ila ni expensive sana.
2. FEDEX -...
Wanaitwa TP FC Lindanda wana Kawekamo Pamba chini ya kocha Pius Nyamko (Marehemu) wakichagizwa na Mtangazaji mahili kabisa wa sport kuwahi kutokea kanda ya ziwa Dominic Chilambo (Marehemu)
1. Madata Lubigisa
2. David Mwakalebela
3. Deo Mkuki
4. James Washokera
5. George Masatu Magere (Captain)...
1. Kuna mchezaji Wa Yanga aliwahi kupiga kona
mpira ukaenda wavuni na kuwa goli
2. Kuna mchezaji mmoja nadhani Wa Milambo
alikuwa anaitwa 'scud'. Mwaka huo kama
sikosei marekani walikuwa wanaishambulia
Somalia kwa kutumia makombora ya scud
3. Kuna mchezaji Wa Yanga aliwahi...
Process zote nimefanya. Nikaambiwa wamekata $1.99 nikicheki kwenye statement nitaona kuna makato toka paypal na digits 4.
Leo wiki ya tatu sijaziona. Nimeshaomba statement bank mara tatu wapi, nikajaribu online statement wapi, ila nimeona makato ya shs 3,333 maelezo ni 'm.card purchase' ila...
Ama kweli ndama wa maskini hazai, akizaa huzaa dume. Nilikuwa na shauku Sana anko wangu aliponijulisha kuwa ataniletea simu kali. Hamadi, siku wa siku nikaletewa HTC one m7. Kuweka laini naambiwa no service. Kucheck status naambiwa SIM card locked. Nusura nitoe machozi, shauku yote kwisha...
Ni used na unlocked toka usa. Inasumbua sana kwenye internet. Mpaka ni restart ndo inakamata na ikikaa muda inagoma hadi ni restart tena.
Tatizo ni nini? Natumia mtandao wa airtel
Wakuu, nategemea kuzungukia majiji ya afrika mashariki wiki ijayo yaani Kampala,Nairobi Na dar Es Salaam.
1.Nataka ninunue simu Kali ya kama $300. Je, nikanunue katika mji gani? Je, ni kweli Kenya na Uganda hakuna simu fake?
2. Nikiwa Nairobi ni hotel gani ya bei nafuu na salama ambayo naweza...
Wakuu nahitaji camera itakayonisaidia katika mambo ya utafiti wa wadudu. Hivyo naomba msaada wa camera ya kununua kwa vigezo vifuatavyo
1. Uwezo wa kuona vitu vidogo sana
2. Uwezo wa kuona vitu vya mbali sana.
Angalau mita 200 kwa usahihi
3. Clearity ya image
4. Aina ya camera kati ya...
Wakuu, habari ya mchana
Nimepitia thread mbalimbali humu katika kipindi hiki ambacho nataka kununua simu nzuri kwa ajili ya kunipa tafu katika mambo ya ofisi hasa ninapokuwa mbali na ofisi na wakati ambapo sihitaji kusafiri na laptop. Nimegundua kwamba simu nzuri ni za samsung ingawa mimi...
Naomba mwenye ufahamu mzuri katika hizi hizi accounting packages anishauri ipi ninunue.
Kwa ajili ya matumizi ya Ngo ambayo inapata funds toka nje. Urahisi kutumia/kujifunza, wingi wa modules, bei rahisi, upatikanaji. Hivyo ni baadhi ya vigezo vya kuzingatia
karibuni
Ni kesi ya madai
Mimi ndo mshtaki
wiki ijayo nilitakiwa kupeleka shahidi ila nimepata udhuru ila shahidi yupo tayari. Je anaweza kwenda peke yake?
Msaada tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.