Wazazi nakonda na mawazo..........mnanilazimisha kuolewaaaa na mimi bado ni mdogo miaka..........
Kibwagizo: Samahani samahani, samahani baba na mama.......
Jina la wimbo silijui wala mtunzi. Wadau nisaidieni ili mtaalam auweke hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza pocophone f1 yangu. Nimetumia miezi 6 tu. Niliagiza China. Nataka nibadili ninunue redmi note. Bei 600,000 nakupa na mi band 3 yake, cover aina mbili (soft ba hard) na glass protector 3. Simu hii ni kiboko kwenye internet. Njoo inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu angalia vizuri hiyo picha. Kuna kundi la watu kama 10 hivi kwenye huo msafara, unadhani ni kina Hao. Angalia kwenye paa za nyumba, unaona Nini. Angali waliposimama kupeana jezi, unaona Nini pembeni. Lile kundi la waendesha baiskeli liko wapi.
Nimequote hii sentensi yote lakini concern yangu ni maneno haya: `BAADA YA KUWA NJE YA AJIRA`
Kwa mfano kijana anaajiriwa akiwa Na miaka 25. Anafanya Kazi miaka mitano mkataba wake unaisha akiwa na miaka 30. Kutokana na tatizo la ajira anatafuta ajira anakosa hadi miaka 55/60 inafika anapewa...
Ndiyo, ni juzi tu tarehe 2/7 nikapewa artequine. Leo namalizia dozi. DALILI: Mwili kuchoka, miguu (kwenye nyayo) na kifua kuwaka moto.
Hakuna kichwa kuuma, wala baridi wala joto kupanda. Magonjwa mengine kama typhoid huwa natibiwa kama kawaida na kupona hata miaka. UTI, naitibu kwa kunywa maji...
Malaria, malaria, malaria. Nakumbuka tangu nikiwa secondary hadi sasa nina miaka 43 nikijitahidi sana mwezi. Kila aina ya dozi nimetumia kasoro quinine ya vidonge. Kila aina ya precaution nimechukua. Maji nakunywa mengi, chakula nakula mno. Bia ilibidi niache
Nipe tiba dk
kuna wakati huwa...
Timu zenye professionals wanaochezea EPL, hamna kitu kabisa. Anza na England yenyewe, njoo Beigium, Hispania nayo imeanza kuharibika, Brazil ndo hovyo kabisa. France kidogo ndo wana nafuu labda kwa kuwa ni wenyeji
Hakuna negotiation mkuu. Hiyo bei nimeropoka tu. Wahi kabla sijabadili mawazo. Lumia 925 na 930 ndo best lumia kwa sasa zikiwa na kamera bora kabisa ya 20
Google lumia 925 utaona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.